Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,133
- 122,589
Hahahaaa. Labda Barca na Bayern zile za ndondo Cup. 😎😎Eti wana uwezo wakuwafunga Barca na Bayern. Kwa Everton ingekuwa kumsukuma mlevi. Tambo zao si za Dunia hii!
Hahahaaa. Labda Barca na Bayern zile za ndondo Cup. 😎😎Eti wana uwezo wakuwafunga Barca na Bayern. Kwa Everton ingekuwa kumsukuma mlevi. Tambo zao si za Dunia hii!
Hahahà aa. Hatari MkuuBangi anayovuta Manara mbaya sana
Hahahaaaa. Hivyo huko ndio alipo mchawi wenyu. 😃😃😃😃Tuna issue kwenye benchi la ufundi.
Weekend iko pooooa kabisa. Najua wajua sababu za kuwa poa. 😃😃😃😃
Pole Mtani. Kikubwa uzima upo
Weekend iko pooooa kabisa. Najua wajua sababu za kuwa poa.
Mzima?
😃😃😃 walisahau kwamba siku zote kuimba ni kupokezana. 😃😃😃
Maana anaongea kama mtu aliyevurugwa then mashabiki wanamshangilia kama mazuzu wameanza kupoteana ndo wanagundua aliwadanganya kuwaambia wanakikosi kipanaHahahà aa. Hatari Mkuu
Walahi Simba na Yanga ni pipa na mfuniko wake. Huyu akiharibu kesho mwenzie yupo njiani.walisahau kwamba siku zote kuimba ni kupokezana.
![]()
Hahahaaa. Nguvu moja wanakuwa kama kinywaji tena kile cha bariiiidi yaani kila tunaposikia habari zake za jana roho zinasuuzika. 😀😀😀😀
Wasikusikie wenyewe.Walahi Simba na Yanga ni pipa na mfuniko wake. Huyu akiharibu kesho mwenzie yupo njiani.
AS Vita uchawi wao si wa nchi hii, Simba hajafufuka kabisa na hili zimwi la Kinshasa.
Atazinduka wa mwisho kwenye kundi, game over.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaa. Mie najiona wanaomfuatilia sana yule jamaa lazima itakuwa wanapresha za kupanda na kushuka. 😃😃😃😃Maana anaongea kama mtu aliyevurugwa then mashabiki wanamshangilia kama mazuzu wameanza kupoteana ndo wanagundua aliwadanganya kuwaambia wanakikosi kipana
Hawajui anajitengenezea umaarufu ready Kwa 2020Hahaaaa. Mie najiona wanaomfuatilia sana yule jamaa lazima itakuwa wanapresha za kupanda na kushuka. 😃😃😃😃
Hahahaaa. Nguvu moja wanakuwa kama kinywaji tena kile cha bariiiidi yaani kila tunaposikia habari zake za jana roho zinasuuzika.![]()