Sponsors

Sponsors

Dodeo

New Member
Joined
Oct 11, 2018
Posts
3
Reaction score
0
Samahani wakubwa, nahitaji kujiunga na masomo ya elimu ya juu na tayari nimepata chuo kikuu cha dodoma,, uwezo wangu kimaisha ni mdogo sana kumudu masomo hayo. Mwenye kufahamu naomba anishauri namna ya kupata sponsor hapa Tanzania ili niweze kusoma katika chuo hiki.
 
Inamaana huyu jamaa humjui?
Ulifanya makosa sana
 

Attachments

  • IMG_20181011_213018_332.jpg
    IMG_20181011_213018_332.jpg
    21.5 KB · Views: 32
Actually nasimama badala ya mtu, hakufanya application coz alikuwa anaumwa sana
Sasa mkuu kama sahivi umeweza kusimama badala ya mtu ulishindwa nini kusimama badala yake wakati wa application za mkopo umsaidie ku apply anyway kwa sikuhizi kupata sponsor ni ngumu sana but ajitahidi kutafuta kwenye mashirika ya dini ikishindikana itabidi a postpone chuo ili aombe mkopo mwakani
 
Back
Top Bottom