MEXICANA
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 1,772
- 2,032
Watumishi wa Mungu aliye hai huwa wana msemo wanautumia hasa wakiudhiwa
"Usicheze na masihi wa BWANA"
Nakumbuka kuna bifu kali kati ya RC mpendwa na masihi wa BWANA.
Ila nakumbuka masihi wa Bwana alitoa maneno makali Sana kibiblia yanaitwa LAANA.
Najaribu kuwaza tu,kwamba it was a matter of time to manifest that curse or is just coincidence?
"Usicheze na masihi wa BWANA"
Nakumbuka kuna bifu kali kati ya RC mpendwa na masihi wa BWANA.
Ila nakumbuka masihi wa Bwana alitoa maneno makali Sana kibiblia yanaitwa LAANA.
Najaribu kuwaza tu,kwamba it was a matter of time to manifest that curse or is just coincidence?