Spika

Bujibuji Simba Nyamaume

Platinum Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
77,883
Reaction score
165,111
Kila mtu analaumu oooh spika sijui kafanya nini mara kafanya kile...sijui kimekuja hapa kikaenda kule......
Mbona Watanzania mnakuwa wagumu sana kuelewa jamani!! Mnakuwa kama hamjasoma!! Aliyewaambia kazi ya spika ni kuwasikiliza ninyi, ni nani? Kazi ya spika ni kutoa saiti tu basi...
.na si vingine

 
Mbona Spika yako ni 1 tu kubwa?
Haina KAndugai kake ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…