Kila mtu analaumu oooh spika sijui kafanya nini mara kafanya kile...sijui kimekuja hapa kikaenda kule......
Mbona Watanzania mnakuwa wagumu sana kuelewa jamani!! Mnakuwa kama hamjasoma!! Aliyewaambia kazi ya spika ni kuwasikiliza ninyi, ni nani? Kazi ya spika ni kutoa saiti tu basi...
.na si vingine