Spika Zungu: Familia ya Jenista Mhagama msisikilize maneno ya kuwagawa

Spika Zungu: Familia ya Jenista Mhagama msisikilize maneno ya kuwagawa

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,499
Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu, ameomba familia ya marehemu Jenista Mhagama kuendelea kuwa wamoja, kushikamana na kuepuka kusikiliza maneno yoyote ya kuwagawa, akisisitiza umuhimu wa upendo na mshikamano katika kipindi hiki kigumu cha msiba.

Zungu ametoa kauli hiyo leo Desemba 13, 2025 wakati wa Ibada ya Misa ya Kuuaga Mwili wa marehemu Jenista Mhagama iliyofanyika katika Kanisa Katoliki, Parokia ya Mwenyeheri Maria Theresa Ledóchowska, Kiwanja cha Ndege, jijini Dodoma.

 
Familia kila wanapounganisha dots wanamuona Maza ndiyo muhusika mkuu..
 
Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu, ameomba familia ya marehemu Jenista Mhagama kuendelea kuwa wamoja, kushikamana na kuepuka kusikiliza maneno yoyote ya kuwagawa, akisisitiza umuhimu wa upendo na mshikamano katika kipindi hiki kigumu cha msiba.

Zungu ametoa kauli hiyo leo Desemba 13, 2025 wakati wa Ibada ya Misa ya Kuuaga Mwili wa marehemu Jenista Mhagama iliyofanyika katika Kanisa Katoliki, Parokia ya Mwenyeheri Maria Theresa Ledóchowska, Kiwanja cha Ndege, jijini Dodoma.

Watu sio wajinga.

Hizi sio zama za mawe raia wanauelewa kuzidi hao wanaolazimisha kuongoza kwa nguvu.
 
Screenshot_20251212-173144~2.png
 
Kwenda peponi inategemea matendo yake, huwezi kumuombea mtu aende peponi
 
Back
Top Bottom