inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 18,039
- 18,384
chama kinauzwa ufipa,lipumba hawezi kubali jasho lake liliwe na sultan..na litote tugawane mbaoProfesa Lipumba sijui kapewa kiasi gani na CCM. Yaani heshima yake yote imekwisha kwa mamboa anayoyafanya sasa hivi. Yaani anafanya juhudi kubwa kuidhoofisha CUF kwa kipindi hiki kifupi, kuliko juhudi zote alizofanya kujaribu kuijenga CUF bara miaka yote kabla ya uchaguzi wa 2015. He should be ashamed of himself very useless man!