Spika wa bunge anamuhakikishia mtu ubunge kama nani kwani ubunge unatolewa na spika au wananchi

Spika wa bunge anamuhakikishia mtu ubunge kama nani kwani ubunge unatolewa na spika au wananchi

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
3,560
Reaction score
7,914
Spika wa bunge anamuhakikishia mtu ubunge kama nani kwani ubunge unatolewa na spika au wananchi.

Nimesikia spika anamuhakikishia mtu ubunge huko, sasa kwani ubunge unatolewa na wananchi au spika wa bunge tuache kuharibu taswira ya uchaguzi ndio maana tunaka mabadiliko ya kiuchaguzi.
 
Spika wa bunge anamuhakikishia mtu ubunge kama nani kwani ubunge unatolewa na spika au wananchi.

Nimesikia spika anamuhakikishia mtu ubunge huko, sasa kwani ubunge unatolewa na wananchi au spika wa bunge tuache kuharibu taswira ya uchaguzi ndio maana tunaka mabadiliko ya kiuchaguzi.

Ah imekuaje tena. ???
 
Spika wa bunge anamuhakikishia mtu ubunge kama nani kwani ubunge unatolewa na spika au wananchi.

Nimesikia spika anamuhakikishia mtu ubunge huko, sasa kwani ubunge unatolewa na wananchi au spika wa bunge tuache kuharibu taswira ya uchaguzi ndio maana tunaka mabadiliko ya kiuchaguzi.
Yaani hiyo 1trilion ya uchafuzi bora wangepeleka kwenye mambo mengineyo
 
Tulia ndio spika duni zaidi tangu bunge lianzishwe, halafu hana aibu yoyote.

Binadamu asiye na aibu ni kama Mnyama, Kiukweli sijawahi kuona Mnyakyusa wa hivi
 
Spika wa bunge anamuhakikishia mtu ubunge kama nani kwani ubunge unatolewa na spika au wananchi.

Nimesikia spika anamuhakikishia mtu ubunge huko, sasa kwani ubunge unatolewa na wananchi au spika wa bunge tuache kuharibu taswira ya uchaguzi ndio maana tunaka mabadiliko ya kiuchaguzi.
Kwa Tanzania inawezekana, Kwa maana spika na Rais wanaelewana, hivyo anaweza kumuombea mtu ubunge Rais akaamuru kama mwenyekiti mtu fulani abebwe
 
Back
Top Bottom