Spika Tulia, Tii Sheria Bila Shuruti

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,791
71,196
Kwako Spika wa Bunge Tulia Ackson, umewahi kumsikia IGP Sirro akitoa ushauri kwa Watanzania kuwa ni vema ku Tii sheria bila shurti?

Basi ushauri ule ni kwa watanzania wote ukiwepo wewe. Sasa kwa nini utake ushurutishwe suala la Halima Mdee na wenzake kuondoka bungeni wakati muhimili wa sheria umesha tafsiri kuwa hawastahili kuwa ndani ya jengo letu tukufu?

Unaujua utukufu wa jengo hilo ambalo hata Rais kuingia humo lazima kibali kitolewe?

Tafadhali onyesha mfano wa kutii sheria bila shurti kwa kutekeleza amri ya mahakama na muheshimu Rais ambaye ni mwenyekiti wako wa chama na ametamka kutaka maridhiano.

Kaka yako Ndugai alionyesha kumdharau yaliyompata unayajua basi nawe endelea. Lakini pia nasi wananchi tutakushukia kama mwewe.

Tunakupa mpaka saa 7 mchana uwe ume tii sheria bila shurti.

Screenshot_20220624-075628_Twitter.jpg
 
Tulia anqtumika tu kama dekio la chooni. Anasubiri amri toka juu.

Kama Kuna kipindi bunge limewahi kupoteza hadhi yake na kuonekana kama kijiwe cha wahuni basi ndiyo ni wakati huu chini ya spika Tulia.

Mnyakyusa huyu kanyimwa sura na rangi kabarikiwa roho mbaya
 
Kwani Fatma Karume hajui kama Samia alikuwa msaidizi wa Magufuli?

Aache kupepesa macho kwa kipenzi chao.
 
Nadhani kuna mambo mengi ya msingi ya kuyapigania nchi hii kuliko kila tukilala na kuamka tunashughlika na hao wabunge
19 wakati bunge zima lenye wabunge wote wameingia kimagumashi ila mtu anakomaa na hao 19 ilimradi tu wakitolewa afurahi basi.
 
Kwako Spika wa Bunge Tulia Ackson, umewahi kumsikia IGP Sirro akitoa ushauri kwa Watanzania kuwa ni vema ku Tii sheria bila shurti?

Basi ushauri ule ni kwa watanzania wote ukiwepo wewe. Sasa kwa nini utake ushurutishwe suala la Halima Mdee na wenzake kuondoka bungeni wakati muhimili wa sheria umesha tafsiri kuwa hawastahili kuwa ndani ya jengo letu tukufu?

Unaujua utukufu wa jengo hilo ambalo hata Rais kuingia humo lazima kibali kitolewe?

Tafadhali onyesha mfano wa kutii sheria bila shurti kwa kutekeleza amri ya mahakama na muheshimu Rais ambaye ni mwenyekiti wako wa chama na ametamka kutaka maridhiano.

Kaka yako Ndugai alionyesha kumdharau yaliyompata unayajua basi nawe endelea. Lakini pia nasi wananchi tutakushukia kama mwewe.

Tunakupa mpaka saa 7 mchana uwe ume tii sheria bila shurti.

View attachment 2270261
Tulia ni kibaraka wa mtawala
 

Hapa Watanzania tumepewa ujumbe kutoka kwa huyo Mbunge sijui wa wapi ila ni ujumbe mzuri.

Mkiona mnanyanyasika, mnainewa, mnadhukumiwa, yaani mnafanyiwa ndivyo sivyo ni kuungana kulambana na hao wanayoyafanya hayo!

Hapo ametumia njia ya kuwafikishia ukumbe kila Mtanzania mwenye kupenda haki.

Hayo ya kutetema kwa Mshambuliaji mahiri anaongea tu lakini ni ujumbe kwa Wtanzania wapenda haki.
 
Tulia anqtumika tu kama dekio la chooni. Anasubiri amri toka juu.

Kama Kuna kipindi bunge limewahi kupoteza hadhi yake na kuonekana kama kijiwe cha wahuni basi ndiyo ni wakati huu chini ya spika Tulia.

Mnyakyusa huyu kanyimwa sura na rangi kabarikiwa roho mbaya
Amri toka juu kwani ni utawala wa mbutuaji wako magu huu?

Si mnapumua nyie?
 
Tulia anqtumika tu kama dekio la chooni. Anasubiri amri toka juu.

Kama Kuna kipindi bunge limewahi kupoteza hadhi yake na kuonekana kama kijiwe cha wahuni basi ndiyo ni wakati huu chini ya spika Tulia.

Mnyakyusa huyu kanyimwa sura na rangi kabarikiwa roho mbaya
Wazee na wenye sura mbaya mwisho Kintinku na Bahi; Dodoma city wote ni "mabebi".....kwako Mwl. Tulia.
 
Wazee na wenye sura mbaya mwisho Kintinku na Bahi; Dodoma city wote ni "mabebi".....kwako Mwl. Tulia.
Najua wataondoka Mjengoni.

Tatizo ni VIZAZI vijavyo watakapoingia ktk vyuo vya Sheria,

Hamuoni LECTURERS watapata taabu sana kujibu maswali kuhusiana na hili la wabunge Hawa???
 
Kwako Spika wa Bunge Tulia Ackson, umewahi kumsikia IGP Sirro akitoa ushauri kwa Watanzania kuwa ni vema ku Tii sheria bila shurti?

Basi ushauri ule ni kwa watanzania wote ukiwepo wewe. Sasa kwa nini utake ushurutishwe suala la Halima Mdee na wenzake kuondoka bungeni wakati muhimili wa sheria umesha tafsiri kuwa hawastahili kuwa ndani ya jengo letu tukufu?

Unaujua utukufu wa jengo hilo ambalo hata Rais kuingia humo lazima kibali kitolewe?

Tafadhali onyesha mfano wa kutii sheria bila shurti kwa kutekeleza amri ya mahakama na muheshimu Rais ambaye ni mwenyekiti wako wa chama na ametamka kutaka maridhiano.

Kaka yako Ndugai alionyesha kumdharau yaliyompata unayajua basi nawe endelea. Lakini pia nasi wananchi tutakushukia kama mwewe.

Tunakupa mpaka saa 7 mchana uwe ume tii sheria bila shurti.

View attachment 2270261
 
Back
Top Bottom