Ndugui ni stomach defenderSpika Ndugai wewe hutokuwa wa kwanza ktk siasa za dunia kucheza haka kamchezo unakacheza ila mbaya zaidi pale unagusa ndio panaleta mashaka makubwa kwa kila mtu anayewaza vyema.
Huyu Prof Assad unayepambana naye mimi nataka kukuambia tu unapambana kwa hoja zisizo na nguvu kiasi wenye akili badala ya kuku support wamekaa kimya tena kimya kizito kiasi hata wewe unatishika na ukimya huu, ila nataka tu kukwambia wewe ni Spika na utakuwa ndie Spika ila kumbuka kuna mfumo huo kamwe huwezi kuutikisa sana sana unajitikisa mwenyewe kwa hoja ambazo sasa zimetoka kuwa hoja na kuwa maswali magumu yasio na majibu.
Hivi kweli Spika wewe una uchungu na kodi za wa lala hoi kweli? na kama jibu ndio je unafikiri hiki kitu ofisi yako imekianzisha kinaweza kuwa na majibu chanya ya kuwapa wananchi ama unawafanya watanzania waamini kwamba bunge pia linashirikiana na Serikali kuhujumu ofisi ya CAG kwa maslahi binafsi tusioyajua.
Kiukweli hapa ndipo hata Rais nadhani anakosa ujasiri kuungana na wewe kwenye hili suala la CAG. Serikali kwa kuona mbali na kujua dhamana kubwa aliyo nayo CAG inakwepa hoja zako kuepusha kituko cha mwaka ktk taifa. Kiukweli mashaka tunayo ktk hili.
Pili uliwaza nini mpaka kufikiria eti kwa kuwa tu umeamua kutofanya kazi na Prof Assad basi kesho yake atajiuzulu? Kweli kama kuna mtu alikulisheni hili tango pori walahi mtadhurika nalo maana Prof hatojiuzulu na mbaya zaidi hili wazo lenu limeleta maswali mengi kuliko majibu rahisi mnayotoa.
Tatu mimi naamini Rais ni taasisi sasa kumwambia Prof akajieleze kwa Rais bila kuitwa nalo hili limekuacha mtupu ktk mpango wako maana CAG hakuna mahali panasema kwakuwa Bunge hamfanyi kazi naye basi akajieleze kwa Rais hakuna hicho kipengele.
Mwisho mimi naona kuna kitu mkuu wakitafuta ila sina uhakika utakipata na napata shida sana unavyomtisha Prof eti mtamuonesha Bunge sio la kuchezewa sasa mtamuonesha nini?
Well, nashauri wanasiasa na viongozi wote wa vyama na Serikali kupima nafasi zetu na kauli zetu kabla ya kuziongea kwa sababu hakuna marefu yasiokuwa na ncha, pia kuwa kiongozi sio kufikiri utafanya lolote unafikiri utalifanya ipo nguvu zaidi ya bunge ipo nguvu zaidi ya viongozi wapo ktk madaraka na nguvu hii ni msaafu wetu Katiba.
Tukifikiri tutafanya vile tunafanya na kuweka maazimio ambayo kesho yake ni wembe mkali unatukata basi tusilie unapotukata. Kwa hili Mh Spika ninaamini umeanzisha jambo ambalo badala ya kumkosesha usingizi uliemkusudia linakukosesha usingizi mwenyewe na mara zote hubaki kuwa majuto ni mjukuu.
Kwa kweli kwa mfano ule itabidi nikubaliane na wewe kuwa nina udhaifu.kama umeshindwa kuelewa hapo na wewe una udhaifu
Cha kushangaza kama CAG aliyepo si muda atastaafu. Kwa nini Mkuu hana subira jamaa amalize kisha aweke mtu wake. Why the hurry? Why now?
Sent using Jamii Forums mobile app
ndugai hana cha kupoteza kwa sasa,,,kama hela anazo,family anayo inakula vizuri hata mungu akimchukua na hakika ataiachia family yake hela za kutosha tu na lazima amejenga na kajumba pia,na hamuwezio kukataifisha kamwe,hata mkikataifisha miaka ya mbele yeye hatakuwepo waaliobaki watajiJEIJEI
Jiwe linapata moto kweli ,walivyopanga na Ndugai kumfrustrate ajiuzulu mwenyewe wameshindwa mpaka Ndugai anasema ,eti CAG anampa shida rais yeye ameyajuaje haya kama hawajaongea naye na kuyapanga .Absolutely true
Lakini process ya kumtumbua CAG. Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, ya mwaka 1977, ndiyo imemshinda
Yeye alidhani kuwa CAG atamtumbua kirahisi kama afanyavyo kwa wateule wake wengine??
Spika Ndugai wewe hutokuwa wa kwanza ktk siasa za dunia kucheza haka kamchezo unakacheza ila mbaya zaidi pale unagusa ndio panaleta mashaka makubwa kwa kila mtu anayewaza vyema.
Huyu Prof Assad unayepambana naye mimi nataka kukuambia tu unapambana kwa hoja zisizo na nguvu kiasi wenye akili badala ya kuku support wamekaa kimya tena kimya kizito kiasi hata wewe unatishika na ukimya huu, ila nataka tu kukwambia wewe ni Spika na utakuwa ndie Spika ila kumbuka kuna mfumo huo kamwe huwezi kuutikisa sana sana unajitikisa mwenyewe kwa hoja ambazo sasa zimetoka kuwa hoja na kuwa maswali magumu yasio na majibu.
Hivi kweli Spika wewe una uchungu na kodi za wa lala hoi kweli? na kama jibu ndio je unafikiri hiki kitu ofisi yako imekianzisha kinaweza kuwa na majibu chanya ya kuwapa wananchi ama unawafanya watanzania waamini kwamba bunge pia linashirikiana na Serikali kuhujumu ofisi ya CAG kwa maslahi binafsi tusioyajua.
Kiukweli hapa ndipo hata Rais nadhani anakosa ujasiri kuungana na wewe kwenye hili suala la CAG. Serikali kwa kuona mbali na kujua dhamana kubwa aliyo nayo CAG inakwepa hoja zako kuepusha kituko cha mwaka ktk taifa. Kiukweli mashaka tunayo ktk hili.
Pili uliwaza nini mpaka kufikiria eti kwa kuwa tu umeamua kutofanya kazi na Prof Assad basi kesho yake atajiuzulu? Kweli kama kuna mtu alikulisheni hili tango pori walahi mtadhurika nalo maana Prof hatojiuzulu na mbaya zaidi hili wazo lenu limeleta maswali mengi kuliko majibu rahisi mnayotoa.
Tatu mimi naamini Rais ni taasisi sasa kumwambia Prof akajieleze kwa Rais bila kuitwa nalo hili limekuacha mtupu ktk mpango wako maana CAG hakuna mahali panasema kwakuwa Bunge hamfanyi kazi naye basi akajieleze kwa Rais hakuna hicho kipengele.
Mwisho mimi naona kuna kitu mkuu wakitafuta ila sina uhakika utakipata na napata shida sana unavyomtisha Prof eti mtamuonesha Bunge sio la kuchezewa sasa mtamuonesha nini?
Well, nashauri wanasiasa na viongozi wote wa vyama na Serikali kupima nafasi zetu na kauli zetu kabla ya kuziongea kwa sababu hakuna marefu yasiokuwa na ncha, pia kuwa kiongozi sio kufikiri utafanya lolote unafikiri utalifanya ipo nguvu zaidi ya bunge ipo nguvu zaidi ya viongozi wapo ktk madaraka na nguvu hii ni msaafu wetu Katiba.
Tukifikiri tutafanya vile tunafanya na kuweka maazimio ambayo kesho yake ni wembe mkali unatukata basi tusilie unapotukata. Kwa hili Mh Spika ninaamini umeanzisha jambo ambalo badala ya kumkosesha usingizi uliemkusudia linakukosesha usingizi mwenyewe na mara zote hubaki kuwa majuto ni mjukuu.
Leo umepata wapi akili ?! Makubwa madogo yanafurahisha sana. Mmekuwa mkuwasifu kwa nyimbo na vinubi leo umeona nini ?!. Hivi ndivyo wanavyofanya kaziSpika Ndugai wewe hutokuwa wa kwanza ktk siasa za dunia kucheza haka kamchezo unakacheza ila mbaya zaidi pale unagusa ndio panaleta mashaka makubwa kwa kila mtu anayewaza vyema.
Huyu Prof Assad unayepambana naye mimi nataka kukuambia tu unapambana kwa hoja zisizo na nguvu kiasi wenye akili badala ya kuku support wamekaa kimya tena kimya kizito kiasi hata wewe unatishika na ukimya huu, ila nataka tu kukwambia wewe ni Spika na utakuwa ndie Spika ila kumbuka kuna mfumo huo kamwe huwezi kuutikisa sana sana unajitikisa mwenyewe kwa hoja ambazo sasa zimetoka kuwa hoja na kuwa maswali magumu yasio na majibu.
Hivi kweli Spika wewe una uchungu na kodi za wa lala hoi kweli? na kama jibu ndio je unafikiri hiki kitu ofisi yako imekianzisha kinaweza kuwa na majibu chanya ya kuwapa wananchi ama unawafanya watanzania waamini kwamba bunge pia linashirikiana na Serikali kuhujumu ofisi ya CAG kwa maslahi binafsi tusioyajua.
Kiukweli hapa ndipo hata Rais nadhani anakosa ujasiri kuungana na wewe kwenye hili suala la CAG. Serikali kwa kuona mbali na kujua dhamana kubwa aliyo nayo CAG inakwepa hoja zako kuepusha kituko cha mwaka ktk taifa. Kiukweli mashaka tunayo ktk hili.
Pili uliwaza nini mpaka kufikiria eti kwa kuwa tu umeamua kutofanya kazi na Prof Assad basi kesho yake atajiuzulu? Kweli kama kuna mtu alikulisheni hili tango pori walahi mtadhurika nalo maana Prof hatojiuzulu na mbaya zaidi hili wazo lenu limeleta maswali mengi kuliko majibu rahisi mnayotoa.
Tatu mimi naamini Rais ni taasisi sasa kumwambia Prof akajieleze kwa Rais bila kuitwa nalo hili limekuacha mtupu ktk mpango wako maana CAG hakuna mahali panasema kwakuwa Bunge hamfanyi kazi naye basi akajieleze kwa Rais hakuna hicho kipengele.
Mwisho mimi naona kuna kitu mkuu wakitafuta ila sina uhakika utakipata na napata shida sana unavyomtisha Prof eti mtamuonesha Bunge sio la kuchezewa sasa mtamuonesha nini?
Well, nashauri wanasiasa na viongozi wote wa vyama na Serikali kupima nafasi zetu na kauli zetu kabla ya kuziongea kwa sababu hakuna marefu yasiokuwa na ncha, pia kuwa kiongozi sio kufikiri utafanya lolote unafikiri utalifanya ipo nguvu zaidi ya bunge ipo nguvu zaidi ya viongozi wapo ktk madaraka na nguvu hii ni msaafu wetu Katiba.
Tukifikiri tutafanya vile tunafanya na kuweka maazimio ambayo kesho yake ni wembe mkali unatukata basi tusilie unapotukata. Kwa hili Mh Spika ninaamini umeanzisha jambo ambalo badala ya kumkosesha usingizi uliemkusudia linakukosesha usingizi mwenyewe na mara zote hubaki kuwa majuto ni mjukuu.
Mfano gani huu!. Usimamizi wowote rasmi lazima utakuwa na muongozo(guidelines). Wapi unapanda basi na ukapewa muongozo wa kazi ya kumsimamia dereva?
Ok well paid troll and agent wa jiwe kichaa, working very hard to disassociate jiwe na sakata la CAG, fyi speaker ameshasema jiwe ndiye anayepata tabu sana na CAG, so jiongezeni kidogoSpika Ndugai wewe hutokuwa wa kwanza ktk siasa za dunia kucheza haka kamchezo unakacheza ila mbaya zaidi pale unagusa ndio panaleta mashaka makubwa kwa kila mtu anayewaza vyema.
Huyu Prof Assad unayepambana naye mimi nataka kukuambia tu unapambana kwa hoja zisizo na nguvu kiasi wenye akili badala ya kuku support wamekaa kimya tena kimya kizito kiasi hata wewe unatishika na ukimya huu, ila nataka tu kukwambia wewe ni Spika na utakuwa ndie Spika ila kumbuka kuna mfumo huo kamwe huwezi kuutikisa sana sana unajitikisa mwenyewe kwa hoja ambazo sasa zimetoka kuwa hoja na kuwa maswali magumu yasio na majibu.
Hivi kweli Spika wewe una uchungu na kodi za wa lala hoi kweli? na kama jibu ndio je unafikiri hiki kitu ofisi yako imekianzisha kinaweza kuwa na majibu chanya ya kuwapa wananchi ama unawafanya watanzania waamini kwamba bunge pia linashirikiana na Serikali kuhujumu ofisi ya CAG kwa maslahi binafsi tusioyajua.
Kiukweli hapa ndipo hata Rais nadhani anakosa ujasiri kuungana na wewe kwenye hili suala la CAG. Serikali kwa kuona mbali na kujua dhamana kubwa aliyo nayo CAG inakwepa hoja zako kuepusha kituko cha mwaka ktk taifa. Kiukweli mashaka tunayo ktk hili.
Pili uliwaza nini mpaka kufikiria eti kwa kuwa tu umeamua kutofanya kazi na Prof Assad basi kesho yake atajiuzulu? Kweli kama kuna mtu alikulisheni hili tango pori walahi mtadhurika nalo maana Prof hatojiuzulu na mbaya zaidi hili wazo lenu limeleta maswali mengi kuliko majibu rahisi mnayotoa.
Tatu mimi naamini Rais ni taasisi sasa kumwambia Prof akajieleze kwa Rais bila kuitwa nalo hili limekuacha mtupu ktk mpango wako maana CAG hakuna mahali panasema kwakuwa Bunge hamfanyi kazi naye basi akajieleze kwa Rais hakuna hicho kipengele.
Mwisho mimi naona kuna kitu mkuu wakitafuta ila sina uhakika utakipata na napata shida sana unavyomtisha Prof eti mtamuonesha Bunge sio la kuchezewa sasa mtamuonesha nini?
Well, nashauri wanasiasa na viongozi wote wa vyama na Serikali kupima nafasi zetu na kauli zetu kabla ya kuziongea kwa sababu hakuna marefu yasiokuwa na ncha, pia kuwa kiongozi sio kufikiri utafanya lolote unafikiri utalifanya ipo nguvu zaidi ya bunge ipo nguvu zaidi ya viongozi wapo ktk madaraka na nguvu hii ni msaafu wetu Katiba.
Tukifikiri tutafanya vile tunafanya na kuweka maazimio ambayo kesho yake ni wembe mkali unatukata basi tusilie unapotukata. Kwa hili Mh Spika ninaamini umeanzisha jambo ambalo badala ya kumkosesha usingizi uliemkusudia linakukosesha usingizi mwenyewe na mara zote hubaki kuwa majuto ni mjukuu.
Dude is a well paid troll and agent of jiwe, working very hard to disassociate him with failed plans to oust Assad, So, the dude can't go straight to the pointUsirukeruke go straight to the point. Mhusika mkuu wa huu mchezo ni Jiwe ambaye anataka kuweka CAG wake full stop.
pole sana unafikiri ndio peke yako unajuwa in and outOk well paid troll and agent wa jiwe kichaa, working very hard to disassociate jiwe na sakata la CAG, fyi speaker ameshasema jiwe ndiye anayepata tabu sana na CAG, so jiongezeni kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanalindana hao! Wote wanajuanaSasa mkuu kwanini huko Lumumba kikao mlichokaa jana pale dodoma msije na azimio la kumshinikiza spika ajiuzuru na awaombe msamaha wapiga kura wake kwa ujinga alioufanya na anaoendelea kuufanya..
Binafsi sijabahatika kuona.Mabasi yote sasa hivi ukiingia ndani unakuta vikaratasi vimebandikwa vikikusihii wewe abiria kupaza sauti pindi mwendo wa dereva unapokuwa wa hovyo. By the way, mwisho wa siku utakae kufa ni wewe na wala si trafiki.