amaruge
Senior Member
- Jun 1, 2015
- 147
- 140
Sikuona ndo maana nimeomba msaada. Nadhani unaweza kunisaidia. Nasikia huwa inaanzia kichwani kwanza, inavuruga mawasiliano halafu ndo inaendelea na mambo mengine kama vile mkanda wa jeshi, kansa, utando midomoni na magonjwa mengine nyemelezi kibao. Mtu wangu wa nguvu naomba unisaidie bwana najua unajua ila tu unafanya kejeli kidogo, hebu funguka sasa!Kwani hukuona kwa baba yako Kabla hajafa?