Heee! Kumbe bado unaangalia TBC,kamanda umetusaliti makamanda wenzakoNi maneno ya Mhe ndugai wakati anaahirisha bunge Jioni hii.
Anasema "hatuwezi kwenda kibabe kibabe.
Kama kuna kiongozi anamuhitaji mbunge ampe taarifa."
Chanzo : TBC
Ata San-Sirro wamesikia.Bila shaka Ma Kondakta Wamesikia...
kwani Tulia ana ED leo?Ni maneno ya Mhe ndugai wakati anaahirisha bunge Jioni hii.
Anasema "hatuwezi kwenda kibabe kibabe.
Kama kuna kiongozi anamuhitaji mbunge ampe taarifa."
Chanzo : TBC
Ni maneno ya Mhe ndugai wakati anaahirisha bunge Jioni hii.
Anasema "hatuwezi kwenda kibabe kibabe.
Kama kuna kiongozi anamuhitaji mbunge ampe taarifa."
Chanzo : TBC
.....kajituliza kama Kasuku. Hataki maneno....Alichopata kinamtosha...kwani Tulia ana ED leo?
Ata SanSiro wamesikia.
Heee! Kumbe bado unaangalia TBC,kamanda umetusaliti makamanda wenzako
...wakati yeye SIYO Mhimili..Makonda aache kudharau mihimili mingine
Ha haaaa.....kajituliza kama Kasuku. Hataki maneno....Alichopata kinamtosha...