Sabung'ori
JF-Expert Member
- Jul 19, 2011
- 2,166
- 1,247
Spika kung'olewa?
"Huyu Spika hatufai, yaani vifo
vikitokea kwa watu wa Bara yeye
ndiyo ataona kuna uzito…hapa.....
Huyu mama kwa sababu hana utashi wa kutosha alisahau alipoahirisha bunge wakati wa msiba wa chifupa pale aliset precedence inabidi iwe hivyo siku zote................... katika hili spika makinda ameboronga, awataka radhi wabunge na watanzania wote.
Mnataka awe na uchungu kwani ameshawai kujifungua au kuwa na mtoto? Kwa kauli yake ya jana inaonyesha jinsi alivyokuwa na roho mbaya, roho iliyokosa utu. Pia, hata akalie ncha ya hilo 'kuti kavu', kwa mfumo wa kimagamba huyu bibi koroboto hawawezi kumng'oa uspika, tuhesaba tumeshalamba garasa, tusubiri 2015...
Alichoharibu ni hapo kwenye RED...subiri watakuja kumjibu hapa.....
Mh, hata mi nilimuona jana anavyowaka mara oh bado nafanya mawasiliano, labada hakuwa amepata habari za kuaminika au hakuna kifungu kinachomruhusu kuahirisha bunge kwa matukio kama hayo? manake pia nilimuona waziri Nchimbi ndiye aliyekuja kutoa hoja ya kuahirishwa kwa bunge.