Spidi ya Tigo 4G mchana huu

Mkuu umepata hivyo kwa sababu wengine kuanzia asubuhi simu zinasoma E tu
 
mbona speed ya kawaida sana kwa 4g?

mimi tanga napata 20+ mbps na zipo humu screenshot za watu kibao wanapata speed zaidi.
 
Dah mimi nipo nakomaa na spidi za kobe bora niwakimbie hawa jamaa sijui nihamie Halotel hao tigo na voda bundle zao zimekuwa na gharama kubwa sana
 

Attachments

  • Capture3.PNG
    53.9 KB · Views: 113
Dah mimi nipo nakomaa na spidi za kobe bora niwakimbie hawa jamaa sijui nihamie Halotel hao tigo na voda bundle zao zimekuwa na gharama kubwa sana
kama una kifaa cha 4g, kanunue modem ya tigo 4g kwa sh 50,000 (ulizia kama ofa ya gb 90 ipo), uza modem bei ya hasara hata 30,000 enjoy gb zako 30 kila mwezi kwa muda wa miezi 3.
 
Mkuu kwani hiyo 4G imeenea maeneo gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ