Spencer Lameck: Lowassa avunja rekodi yake mwenyewe

Spencer Lameck: Lowassa avunja rekodi yake mwenyewe

samylimi

Senior Member
Joined
Aug 10, 2015
Posts
186
Reaction score
66
Huyu kijana anauwezo wa kuitendea haki fani yake ya uandishi na kukoleza vyema kampeni za UKAWA.

Leo amenifurahisha sana, mwisho wa kuripoti habari ya leo amemaliza kwa kusema "Katika mkutano huu Lowassa amevunja rekodi yake mwenyewe aliyoiweka mwezi augost wakati akutambulishwa kuwa mgombea urais wa UKAWA". It means Magufuli hakufurukuta kabisa.
 
Lowassa ana pendwa na watanzania walio wengi na yeye anawapenda watanzania tokea rohoni. Sioni mahala Magufuli anaweza kwenda kupata kura zaidi ya 25% ndani ya box la kura. Pamoja na kubebwa na viongozi waandamizi, wana muziki , wakuu wa mikoa na wilaya na makda wengine ndani ya Chama Cha Mapinduzi still watanzania walio wengi wanamtaka Lowassa awe Rais wa mwaka 2015 to 2025
 
Rekodi ya usanii unategemea itavunjwa na nani kama sio msanii mwenyewe?
 
Huyu kijana anauwezo wa kuitendea haki fani yake ya uandishi na kukoleza vyema kampeni za UKAWA. Leo amenifurahisha sana, mwisho wa kuripoti habari ya leo amemaliza kwa kusema "Katika mkutano huu Lowassa amevunja rekodi yake mwenyewe aliyoiweka mwezi augost wakati akutambulishwa kuwa mgombea urais wa UKAWA". It means Kufuli hakufurukuta kabisa.

Kwa "kukoleza vyema kampeni za UKAWA" ndio "kuitendea haki fani yake"? Nyamaza kama hujui FANI za watu.
 
Huyu kijana ANAJITAMBUA,SI MNAFIKI NA ANA UCHUNGU NA NCHI YAKE NDIO MAANA.
 
Safi sana SL umeshajiwekea record yako na kujitengenezea CV katika nchi hii. Keep it up young man!
 
Back
Top Bottom