Pana ukweli hapa ila Mimi natumia tigo na wapo kasi kweli ila haziendi kivile megabyteHi ni kuwa mb zako ziende haraka
Lo mb zako zisiishe haraka
naomba kuifahamu hiyo option unafanyajeDuh .
Ila watu tuna negativity sana.
Kwa nini usione faida ukaona kupigwa.
Maelezo yanotosha kueleza waloweka wao.
Mwanzo speed ilikuwa 100MBPs
Ukipunguza inakuwa 5MBPs
Piga *149*01# okaynaomba kuifahamu hiyo option unafanyaje