Specification za pc yangu naweza cheza game gani za fifa na kawaida??

hio processor haina jina? nenda my computer right click halafu properties utapata jina la processor
 
Namimi hapa naweza run gta v? Au fifa 15 kupanda
Processor intel core i5 5200u cpu 2.20ghZ ram 4gb
 
yap kwa low setting unarun, mimi nina 4200m imekuzidi kidogo lakini gta v nacheza vizuri tu zaidi ya 30fps
Mkuu msaada,nilikuwa nataka kuja pm naona umefunga,kuna simu niliiuza ila inanipa shida yaani yule mtumiaji akiweka/kubadili line mimi napata message kama hii‘’My phone may be stolen,please keep sending this numbers" yaani inaleta usumbufu,nimewapigia tigo wanadai hakuna huduma kama hii,nifanyeje ili nisipate message kutoka katika hii simu,na sikuwahi kuiunga hii simu na huduma kama hiyo.
 
Mkuu msaada,nilikuwa nataka kuja pm naona umefunga,kuna simu niliiuza ila inanipa shida yaani yule mtumiaji akiweka/kubadili line mimi napata message kama hii‘’My phone may be stolen,please keep sending this numbers" yaani inaleta usumbufu,nimewapigia tigo wanadai hakuna huduma kama hii,nifanyeje ili nisipate message kutoka katika hii simu,na sikuwahi kuiunga hii simu na huduma kama hiyo.
mkuu umeiunga au kuna.mtu alikuungia, software ambayo sana hutumika kibongo bongo ni avast ant theft na app hujificha hauioni.

kuipata inabidi upige simu kwa namba za siri, mfano kama ulieka namba ya siri 8888 unaipiga kama simu then itatokea hio app.

kama bado unaona huelewi iflash tu itasolve mambo yote
 
mkuu umeiunga au kuna.mtu alikuungia, software ambayo sana hutumika kibongo bongo ni avast ant theft na app hujificha hauioni.

kuipata inabidi upige simu kwa namba za siri, mfano kama ulieka namba ya siri 8888 unaipiga kama simu then itatokea hio app.

kama bado unaona huelewi iflash tu itasolve mambo yote
Dah,naweza kuwa niliweka,hivi nikiitafuta hiyo simu nikaweka ant theft nyingine,alafu nikaunga namba ya muhusika(mtumiaji wa sasa),itaacha kunitumia message
 
yap kwa low setting unarun, mimi nina 4200m imekuzidi kidogo lakini gta v nacheza vizuri tu zaidi ya 30fps
Mkuu kwema!! Naomba nitoke nje ya mada kidogo.....
Ivi ni kweli kuwa ukiangalia sd channels kwenye full hd tv picha inakuwa mbaya sana? Mana nimenunua tv picha ni mbaya mno natamani kulia. Na je huo waya wa hdmi unasaidia kuongeza ubora wa picha? Mana natumia hizi waya tatu za njano nyekundu na nyeupe .
 
Mkuu kwema!! Naomba nitoke nje ya mada kidogo.....
Ivi ni kweli kuwa ukiangalia sd channels kwenye full hd tv picha inakuwa mbaya sana? Mana nimenunua tv picha ni mbaya mno natamani kulia. Na je huo waya wa hdmi unasaidia kuongeza ubora wa picha? Mana natumia hizi waya tatu za njano nyekundu na nyeupe .
hdmi inaongeza quality pale tu hio source ikiwa inatoa resolution kubwa sababu ni sd sidhani kama kutakuwa na tofauti kati ya hdmi na waya wa kawaida.

na ndio tv hizi zenye resolution kubwa zinaonesha vibaya kama picha ina quality ndogo, na kama ni chanell zetu za bongo nyingi hata sd hazijafika mfano chanell ten.
 
hdmi inaongeza quality pale tu hio source ikiwa inatoa resolution kubwa sababu ni sd sidhani kama kutakuwa na tofauti kati ya hdmi na waya wa kawaida.

na ndio tv hizi zenye resolution kubwa zinaonesha vibaya kama picha ina quality ndogo, na kama ni chanell zetu za bongo nyingi hata sd hazijafika mfano chanell ten.
Mkuu nimeshaweka hdmi lakini bado nikiweka hd channels picha inakuwa mbaya je tatizo linaweza kuwa ni tv yenywe?
 
Mkuu nimeshaweka hdmi lakini bado nikiweka hd channels picha inakuwa mbaya je tatizo linaweza kuwa ni tv yenywe?
tatizo ni kwamba hio quality siioni.

tafuta movie ya HD ieke kwenye flash halafu iplay uone quality itakuwaje? kama una azam eka azam sport HD utestie
 
Namimi hapa naweza run gta v? Au fifa 15 kupanda
Processor intel core i5 5200u cpu 2.20ghZ ram 4gb
Game zinategemea zaidi graphics card iliyopo kwenye PC yako kuliko processor.
So mtu anaweza kukuambia anarun na core i3 lakini yeye ana graphics card nzuri na wewe hauna.

Kujua graphics card yako kutakuwa na stika ya NVIDIA au Radeon kwenye machine yako inayotoa jina la ghraphics card yako kwa mfano Nvidia GTX 960M au kama hakuna stika

Nenda Start Menu, tafuta Run kisha fundua, kwenye box andika dxdiag, bonyeza ok, itakuja "Direct X Diagnostic Tool" nenda kwenye Graphics itakwambia model ya graphics card yako na taarifa zake zengine.

Ukiipata model unaweza kuidumbukiza youtube utaona watu wanacheza game kwa ubora gani na hiyo graphics card. Siamini kama GTA V unaweza kucheza bila dedicated graphics card at least Intel 4000 ambayo itabidi uweke graphics kwenye lowest setting na bado itakuwa na framerate ovyo.
 
Back
Top Bottom