Dah ni hatariKuna kamanzi nilikuwa natoka nacho huwa mara nyingi alikuwa ananitishia kuniacha kidume nikajiongeza
Ikabidi wiki nzima niwe naye beneti Na ku act kwake as real gentleman
Loh!nilichomfanya baada ya kuona amekolea sana kwangu nikamtema
Nilimuumiza Sanaa yaan mpaka Leo anachukia wanaume lakini wadau nilifanya hivyo coz
Kipindi cha mwanzo alikuwa ananitishia kuniacha me kidume nikawa napima upepo tu
Kuna kuachwa kwingine unapigwa hadi bumbuwazi!akilo inaganda hadi unasahau kama ulikua na "Akiba"Hahaha, akiba haiozi mkuu yani angeachwa hapo wala asingekuwa NA MAWAZO kwa sababu anajua anapakukimbilia.
Nikajiongeza mkuuDah ni hatari
Nikajiongeza mkuuDah ni hatari
sio kwa hali ya hewa hii au nikalale msibaniUlale hukohuko[emoji57] [emoji57] [emoji57]
Nenda tu.sio kwa hali ya hewa hii au nikalale msibani
Vibaya hivyoNenda tu.
Kuna kuachwa kwingine unapigwa hadi bumbuwazi!akilo inaganda hadi unasahau kama ulikua na "Akiba"
Pole yake aliyeachwa atulize kichwa,atapata mwingine!mapenzi kama siti ya daladala akishuka mtu anapanda mtu[emoji4]
Kabisa kama kuachwa kwangu nimepigwa na butwaaKuna kuachwa kwingine unapigwa hadi bumbuwazi!akilo inaganda hadi unasahau kama ulikua na "Akiba"
Pole yake aliyeachwa atulize kichwa,atapata mwingine!mapenzi kama siti ya daladala akishuka mtu anapanda mtu[emoji4]
Pole mwaya!take it easy jua wewe sio wa kwanza kuachwa,jipe mda utakua sawa tu na utampata mrembo mwingine tuKabisa kama kuachwa kwangu nimepigwa na butwaa
haah ukiachwa achikaKama upo kwenye majonzi ya kuachwa tukutane hapa, na utwambie ulipoachwa bila sababu kitu cha kwanza ulifanya nini, na ulizoea hali hiyo baada ya muda gani?
Kwa kifupi mi nimeachwa jana, bila sababu ya msingi, kimoyo moyo nikajua kuna njemba litakuwa limembeba,
Ila tuwe wakweli kuachwa ni hatari sana,
Nipo nimebembeleza sana kakataa,
Nikaamua nikaushe nipo naandika uzi huu nikiwa bar nakunywa castle,
Je we umeachwa pia?