Special thread: Updates za mgawo wa maji ya DAWASA 2022

Special thread: Updates za mgawo wa maji ya DAWASA 2022

mashonga

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2013
Posts
611
Reaction score
994
Habari za muda huu Wanajamiiforums,

lengo la uzi huu ni kupeana taarifa zinazohusiana na mgawo wa maji kama ulivyo tangazwa na DAWASA, pia kupeana habari kama mgawo unafuata ratiba kama wanavyo tangaza, kushtuana maji yakianza kutoka na mengineyo yote yanayo husiana na huu mgawo.

Kwa kuanzia nimeweka ratiba ya mgawo wa maji kama walivyo weka wenyewe kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii.

IMG_20221028_061119.jpg
 
Habari za muda huu Wanajamiiforums,

lengo la uzi huu ni kupeana taarifa zinazohusiana na mgawo wa maji kama ulivyo tangazwa na DAWASA, pia kupeana habari kama mgawo unafuata ratiba kama wanavyo tangaza, kushtuana maji yakianza kutoka na mengineyo yote yanayo husiana na huu mgawo.

Kwa kuanzia nimeweka ratiba ya mgawo wa maji kama walivyo weka wenyewe kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii.

View attachment 2400040

MAJI: TATIZO NI SAMIA, CCM AU SERIKALI?

JAMAA KACHAMBUA VYEMA SANA, tutafakari kwa pamoja!
 
Habari za muda huu Wanajamiiforums,

lengo la uzi huu ni kupeana taarifa zinazohusiana na mgawo wa maji kama ulivyo tangazwa na DAWASA, pia kupeana habari kama mgawo unafuata ratiba kama wanavyo tangaza, kushtuana maji yakianza kutoka na mengineyo yote yanayo husiana na huu mgawo.

Kwa kuanzia nimeweka ratiba ya mgawo wa maji kama walivyo weka wenyewe kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii.

View attachment 2400040
Usiamini hiyo ratiba

Ova
 
Ratiba danganya toto hiyo, Mbezi Beach ilibidi iwe jana ila hadi leo asubuhi hamna hata tone.

Huo ni mkakati wa kuwatia watu moyo na kuwatuliza tu.
 
Ratiba danganya toto hiyo, Mbezi Beach ilibidi iwe jana ila hadi leo asubuhi hamna hata tone.

Huo ni mkakati wa kuwatia watu moyo na kuwatuliza tu.
daah hatari hii, kwetu ilibidi iwe leo ila hakuna hata tone hadi sasa
 
Back
Top Bottom