Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 31,980
- 95,495
Unaongeza maumivu jamaa anaweza chinja mtu eti mke anaumaMmmh pole sana braza, afu unakuta jamaa lilimlia dawa za kuongeza nguvu na hata malinda unakuta limekula,ila mke anauma aisee. Mi nadhani ikinifika jambo hilo nampiga chini tu wife maana maumivu nahisi hayaelezeki.
Lakini pia mwanamke kuchit ni process ndefu sana unlike sisi hata ukiona mfanya usafi job unaweza di.nda.
Unaweza pigwa shaba mtandaoni jamaa ana hasira za kinyumbani kabisaDah mkuu kumbe bado una hasira sana. nisamehe bhana mkeo alini ganda mwenyewe ila show ya kibabe nlimpaa
Hahaaa shikamooUpandacho utavuna, kumbe na nyie mnaumiaga eehe hayo maumivu unayohisi sasa hivi ndo zidisha mara 1000 huwa ndo maumivu ya mume
#ukiacha uchungu wa kuzaa kinachofuata kwa maumivu ni kuibiwa mume.
Unaweza ukawa fundi bila lukawa haumpi attention lazima akatafte wa kumbembeleza piakumbe nikiwa full fundi hatachepuka...akiemda ataona kachafuliwa tu atarudi kutulia na kujuta si ndio...?
Hapa naona kabisa unaelekea kupoteza marindaNdicho nachofikiria hapa, yaani nitamrengesha anifume kabisa namkaza mke wake. Now napanga strategies za usalama wangu kwanza, maana sitaki ajue tu, nataka atukute kitandani kabisa. I want it to be a suicide mission.
Naomba uhesabu likes zangu, nikija nakuja mazimaaKatibu nimepita tu kwa comment yako.
Ngoja nchukue whisk na ice nikae nipitie nadhani espy pia kafanya maandalizi
Ha ha ha ukija ni vuuuuuu kama bombadiaNaomba uhesabu likes zangu, nikija nakuja mazimaa
Si unajua mi mangi wa kisasa sina maneno mingimingi...Ha ha ha ukija ni vuuuuuu kama bombadia
Sawa kama umezoea kugawa,igawe maana ndivyo ulivyo wala sio kwa sababu ya mwanaume. Ulisemalo ndilo limekujaa moyoni.Gawa mama.Huo mda wa kutokujipa raha nakuhangaika na vtu vya ajabu sina mie wewe mwanaume unakuwa wapi?
haahahaha we ni mwehu hahahahahaInatakiwa anaemkula mke wa mtu amkule kama katoka jela, akule pussy hadi alie myeeeewwwww
jamani we unapenda kuchekesha kwelisitaki kuwaza hayo maumivu
yaani hata demu ninayempenda nikimkuta na bwana ake roho inaniuma
yani ufundi namaana kila kitu kumpa attention mahanjumati makachumbari na zaidi tu full madikodiko..sasa na shuguli yenye sasa anaimba hadi kilugha..hapo vipiUnaweza ukawa fundi bila lukawa haumpi attention lazima akatafte wa kumbembeleza pia
Sasa ww ukiwa unaenda kumla mke wake na jamaa ndo utakutana na mabaunsa wana minyama kifuani wameshikilia ky watakusurubu na kukupeleka uwazi tuone vipicha vyakoWanabodi, Mke anauma jamani.
Mwaka jana mwishoni pasipo na shaka yeyote nilijua Mke wangu anagongwa na fala flani hivi (Hapa sina hakika kama fala ni jamaa au Mimi niliyegongewa)
Nilimmind sana wife na kipigo juu, ila mwisho wa siku nilisamehe (Kwa kuwa mi mwenyewe ni mfuasi wa K za nje)
Nishamcheat Mke wangu zaidi ya Mara idadi kamili.
Tatizo ni kuwa nimeshindwa kabisa kusahau, nilijaribu kula mizigo ya nje ili tu nibalance lakini bado.
Jamani huwa mnafanyaje kusahau??
Hapa nimeshaanza preliminaries za maandalizi ya missions za kumla Mke wa jamaa aliyemla Mke wangu, tatizo jamaa yupo mkoa na nimeshachukua leave ya mwezi kazini. Nataka nilipe kisasi, kama hii haitasaidia itabidi nicheze mchezo nimle jamaa mwenyewe.
Au mnaonaje wadau???
Mke anauma jamani, anauma sio kitoto mjue.
Kavurugwa huyo hatari,anagawa kama njuguRelax babygirl
How is your weekend??
Unaomboleza right!
Karibu hapa
Sidhani mkuu umechanganya vituKavurugwa huyo hatari,anagawa kama njugu
Mkuu ID fake ndio sababu, ni wachache wanaonijua humu.Yaani mnagongewa wake zenu na mnapata ujasiri kabisa wa kuja kutangaza huku? Ama kweli! Process ya mkeo kugongwa huwa sio ya siku moja mjue. Sio kama sisi unaweza ukakutana na mzigo bank au popote, ukautamani, ukauomba na kwenda kupiga mashine na ukarudi home huku ukimpenda mkeo as if nothing happened. Mkeo akigongwa nje kwa sababu yoyote ile, ataendelea kugongwa tu na penzi lake kwao ndo linakuwa limeyoyoma hivyo.