KAMUZUBERA
Senior Member
- May 9, 2017
- 194
- 154
Yametoka
Kama una link ya hayo majina naomba tusaidie mkuu
Bado mkuu nimeona tu hiyo taarifa kwa IG...nazani link bado coz ata ukitaka ingia its loading mda mrefu sanaKama una link ya hayo majina naomba tusaidie mkuu
Hazifunguki mkuuOrodha za batch zote mbili za 2018 hizi hapa.
Hiyo 2nd batch ni ya mwaka jana angalia index hizo 90% wamemaliza form 4 2014Orodha za batch zote mbili za 2018 hizi hapa.
Tumia PDF sio format nyingineHazifunguki mkuu
VP jaman kuna aliyeandikiwa allocation kwenye account yake?
Hata ukiwa mbal c kuna no zaoKwa yoyote aliopo karbu na helsb atusaidie aende kuulzia kulikon huko
Simu kuna kupokelewa na ukajibiw lolote na kutokupokelew ila kwa njia ya kwenda pale itakua vzr zaid unakomaa naoHata ukiwa mbal c kuna no zao
Walxema wataweka kwenye a/c muda c mrefu!!Simu kuna kupokelewa na ukajibiw lolote na kutokupokelew ila kwa njia ya kwenda pale itakua vzr zaid unakomaa nao
Walisema lini kaka tafadhal explainWalxema wataweka kwenye a/c muda c mrefu!!
Walisema lini kaka tafadhal explain
Ndo wamexema hvyo au ndo ile walxema watatma chuon!!!Vile vile kuna watu mfano bugando wakureport tangia tarehe 22 baada yakufny registration wameona %zao
Kwahio hapa mkuu inamaana mpaka ufanye registration ndo utaona asilimia auVile vile kuna watu mfano bugando wakureport tangia tarehe 22 baada yakufny registration wameona %zao