Tareh 27 ni jmosi hawawez fanya kazi hio tuckilizie trh 29 ambay ni j3 ,, registration unaruhusiw ila tu hio ela yako ujue kama itakua refunded baadae au laNiliongea nao juzi kuhusu allocations wakasema tar 27 lakini hadi leo holaaa ....ivi ambao wamefanya registration wamefanyaje?
Sasa utalipia ada yote?Tareh 27 ni jmosi hawawez fanya kazi hio tuckilizie trh 29 ambay ni j3 ,, registration unaruhusiw ila tu hio ela yako ujue kama itakua refunded baadae au la
Tayar kivp mkuu wanafunz wao wameshapata alloction kweny account zao au wameenda kujulia hukohuko suaOi sua loan allocations tayar.....cc xax vyuo vyetu ambavyo havpo serious
Inategemea na instalment za ada haiwez kuwa ada yoteSasa utalipia ada yote?
wametoa tyu pdf yao kwenye chuoView attachment 2018-2019-Batch-1-Loan-Allocations-for-Sokoine-University-of-Agriculture-Fi-From-HESLB.pdfTayar kivp mkuu wanafunz wao wameshapata alloction kweny account zao au wameenda kujulia hukohuko sua
Daah sure means taarfa zshafika vyuonwametoa tyu pdf yao kwenye chuoView attachment 914015
Yah xem ndo hvyoDaah sure means taarfa zshafika vyuon
Bado mkuu ndyo tunackilizia walisema kabla ya mwezi October kuisha wanatoa lkn cku ndyo hzo zimeishaIvii akuna batch nyengine iliyotoka
Heslb wametoa batch nyingine
Hiyo taarifa.. Batch 2 hyo hapoSwali or taarifa?
Waliopangiwa mkopo awamu ya piliView attachment 914723