Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,943
- 18,665
Nakumbuka 2015 kipindi cha uchaguzi kulikuwa na haka ka msemo " Kuna Maisha baada ya Uchaguzi". Sasa tunaenda kumaliza miaka miwili baada ya uchaguzi. Tunaelekea kwenye " Maisha kabla ya uchaguzi" 2020.
Hebu tuelezane hapa. Maisha yako vipi baada ya uchaguzi. Unaishi au unasurvive?
Hebu tuelezane hapa. Maisha yako vipi baada ya uchaguzi. Unaishi au unasurvive?