Lambardi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 16,701
- 17,732
Mapato yamepungua Mara dufu.....kodi amezichukua amezichukua zote za nchi hii akijua atavuka lengo! From 1.2T had 700b aibu kubwa! Nchi itamshinda soon atakimbia huyu!! Ameua halmashauri zote na manispaa amekomba mapato yote ameanzisha kodi jengo na viwanja lakini wapi ! Roho yake mbaya na kutotaka ushauri anapeleka nchi kubayaUchumi unarudi nyuma usipolipa kodi