Obama wa Bongo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 5,448
- 4,980
Happy xmass to all jf members, celebrete Emmanuel "God with Us"
Happy xmass to all jf members, celebrete Emmanuel "God with Us"
Am in dom namshukuru mungu kwa neema na baraka kwa anaenijalia kila leo ,kuzaliwa kwa Jesus iwe starting pt ya kufurahi ,kusameheana na kuvuna neema kwake,nc Xmas
Heri ya Krismasi kwa wapendwa wangu wote jF Yesu mzaliwa akazaliwe kweli mioyoni mwetu tuache ukale na tianza mapya in Jesus name
Heri ya Krismasi kwa wapendwa wangu wote jF Yesu mzaliwa akazaliwe kweli mioyoni mwetu tuache ukale na tianza mapya in Jesus name
Tusherehekee kwa amani na utulivu
Sifa na utukufu apewe BWANA mweza yote yeye aliyetuwezesha kuiona x-mass hii, BUT naomba tusheherekee kwa ajili ya utukufu wake yeye aliyezaliwa (YESU), maana kuna watu husheherekea x-mass kwa kutenda dhambi ;wengine leo ndo siku ya clab, wengine leo ndio siku ya kumchit mkeo na kwenda kwa mchepuko, na mengi yanayofanana na hayo .plz tuwe waangalifu katika hilo asije akajuta kwanini alikupa x-mass hiii. Amen