Wadau nimeleta Uzi huu mahususi kwa members kutakiana
heri katika sikukuu tajwa.
Mimi nawawish wafuatao wamegusa maisha yangu kwa namna
moja ama nyingine
-Tized
-King'asti
-Money stunna
-Nyani ngabu
-Lara 1
-Matola
-The boss
-Mizabwa
-Even salt
kama kuna makosa katika majina,mnisamehe.Jamii forums ni sehemu
salama na murua mtu kutumia muda wake katika harakati zozote,unapata
fursa ya kukutana na kubadilishana mawazo na watu ambao isingekuwa rahisi
kushare nao experience zao. Heri ya Xmas kwa members wote kabisa
Wasalaam
heri katika sikukuu tajwa.
Mimi nawawish wafuatao wamegusa maisha yangu kwa namna
moja ama nyingine
-Tized
-King'asti
-Money stunna
-Nyani ngabu
-Lara 1
-Matola
-The boss
-Mizabwa
-Even salt
kama kuna makosa katika majina,mnisamehe.Jamii forums ni sehemu
salama na murua mtu kutumia muda wake katika harakati zozote,unapata
fursa ya kukutana na kubadilishana mawazo na watu ambao isingekuwa rahisi
kushare nao experience zao. Heri ya Xmas kwa members wote kabisa
Wasalaam