kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,205
- 18,474
Magari Madogo?Wakati tukiendelea kujifariji na matuamini kuwa siku moja tutaishinda Covid-19 si mbaya tukiangazia magari madogo ya aina ya SUV
Kwa kuanza naweka baadhi ya ndinga ambazo watu wengi huwa na dream ya kuwa nazo
Tafadhali walio karibu na tajiri yetu Kidukulilo wasikose kumtaarifuView attachment 1455132View attachment 1455134View attachment 1455136View attachment 1455138View attachment 1455139View attachment 1455140View attachment 1455141View attachment 1455142View attachment 1455143View attachment 1455144View attachment 1455145View attachment 1455146View attachment 1455147View attachment 1455148View attachment 1455149View attachment 1455150View attachment 1455151View attachment 1455152View attachment 1455155View attachment 1455157
Sent using Jamii Forums mobile app
chevrolet tahoe... chevrolet traiblazer and chevrolet surbubanHapo ni Lexus na Landcruiser tu.
Katika SUV naziota zile za ki FBI, BMW X3/5, M Bez G Wagen na GL, na Audi Q7 la kibabe.
V8 ntakuja kuinunua one dayView attachment 1545486View attachment 1545489View attachment 1545490View attachment 1545492View attachment 1545495View attachment 1545497View attachment 1545502View attachment 1545504View attachment 1545505View attachment 1545508View attachment 1545509View attachment 1545515View attachment 1545518View attachment 1545520View attachment 1545521View attachment 1545525View attachment 1545526View attachment 1545527View attachment 1545529View attachment 1545531
Mkuu, kwa nijuavyo mimi, Jeep ni Brand, ni kama vile Toyota, tunaweza tukasema ni kampuni.Nini tofauti Kati ya SUV, Station Wagon na Jeep?
hii bana inaitwaga RR cullinun.pesa hizi bana ndio maana watu wanaiba.
ni chuma moja ya adabu sanView attachment 1457836
Hii ukiwa nayo geshi watasema Yao🙄🙄🙄🙄