Special Thread, COPA America 2015

Wameturudishia matumaini, pamoja na kumkosa Neymar wanacheza vizuri na ushindi wa leo utawaongezea confidence na hivyo kucheza vizuri katika mechi zilizobaki na hata kuweza kubeba kombe.

Yaani wamecheza safi kabisa, maombi yamekwenda sawia hii game Brazil wangetolewa dogo angebebeshwa zigo lote la lawama. Wameonesha kwamba wanaweza bila hata ya Neymar....... Safiii Brazil keep it up!!!!!!
 
wanasemaga they die fighting, not like sheeps/taifa stars
 
Wale kwao ambao ni usiku mlale unono, ambao ni mchana muwe na siku njema na wale ambao mko kazini muwe na kazi njema.
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…