Wameturudishia matumaini, pamoja na kumkosa Neymar wanacheza vizuri na ushindi wa leo utawaongezea confidence na hivyo kucheza vizuri katika mechi zilizobaki na hata kuweza kubeba kombe.
Yaani wamecheza safi kabisa, maombi yamekwenda sawia hii game Brazil wangetolewa dogo angebebeshwa zigo lote la lawama. Wameonesha kwamba wanaweza bila hata ya Neymar....... Safiii Brazil keep it up!!!!!!