Special Thread, COPA America 2015

Attachments

  • 1434760567579.jpg
    21.4 KB · Views: 49
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
Mcheza mzuri sana huyu lakini kiburi, uhuni na fujo zinamuharibia sifa yake anapokuwa uwanjani na hasa timu yake inapokuwa nyuma. Asipojirekebisha anaweza kuharibu kabisa hata timu yake ya Taifa ikamsusa.

 
Mcheza mzuri sana huyu lakini kiburi, uhuni na fujo zinamuharibia sifa yake anapokuwa uwanjani na hasa timu yake inapokuwa nyuma. Asipojirekebisha anaweza kuharibu kabisa hata timu yake ya Taifa ikamsusa.

Ni utoto tu akikua ataacha ila alivyoongea na media kuhusu ile red yake mhh!! Kampondea refa .....
 
Reactions: BAK
Huyu kocha wa chile kamtoa Sanchez na Vidal game imepoa kias fulan
 
Mlimbwende anahamasisha kumtaza unaweza hata ukasahau kama kibendera kimeanguka...

Naona na leo katabiri Chile anashinda...

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…