Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Dak 45 (HT)
Kenya 0 - 0 Ethiopia
 
Kipindi cha pili kinaanza...

Dak 46
Kenya 0 - 0 Ethiopia
 
duh hawa Kenya hawapendi kabisa mpira! Yaan kauwanja kadogo namna hii na bado hakajajaa halaf National team inacheza! Au kuna threat ya al shabaab nn
 
Mchezaji wa Kenya anaunawa mpira ndani ya 18, lakini refa anapeta...naona kama kuna mbeleko kwa mwenyeji Kenya
 
Mchezaji wa Kenya anaunawa mpira ndani ya 18, lakini refa anapeta...naona kama kuna mbeleko kwa mwenyeji Kenya
Lazima mwenyeji abebwe ukizingatia serikali ndo imedhamini sijui hawana makampuni.
 
na Nyayo Stadium ipo mjini kabisa kiasi kwamba ni rahisi kwa watu kufika hapo...

Ingekuwa kule Kasarani labda tungesema ni nje ya jiji...

duh hawa Kenya hawapendi kabisa mpira! Yaan kauwanja kadogo namna hii na bado hakajajaa halaf National team inacheza! Au kuna threat ya al shabaab nn
 
Wakenya wako after money, wako kazini wakitafuta riziki.
Aming'wana adatogilwe duhu igolu, duhaye giki amanyang'au atogilwe ugukoba emhilya gukila mazungu, bulu mazungu agamadikagaka pa umsiwanja ulusiku lo golu.
 
Dak 78
Kenya 0 - 0 Ethiopia
 
Dak 90 (FT).
Kenya 0 - 0 Ethiopia
 
mechi kati ya kenya vs ethiopia sikubahatika kuiona, vipi jamaa zetu wanyama na mariga walikuja kutoa support??
 
mechi kati ya kenya vs ethiopia sikubahatika kuiona, vipi jamaa zetu wanyama na mariga walikuja kutoa support??

Hawakuwepo mkuu...ila mechi ilikuwa nzuri, isipokuwa bado washambuliaji wa kila timu walikuwa butu.
 
Back
Top Bottom