Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,647
Mpenzi wangu Nyani Ngabu (Mpenzi kaka nsijevunjiwa screen bure)
Funguka bana.............how do you interprete mpenzio (wa kweli ) akikupa treat inayokufanya ujisikie u special kwake..unaichukulia ni wajibu wake kwa kuwa wewe u mpenzi wake au unamshukuru? Na ukimshukuru unamshukuruje?
Funguka mydia! you never know watu wanawezafall online ati!! (joke)
Nani huyo? hebu eleza vizuri basi??
Inawezekana ulikuwa na shost wako akukupa umbeya wa kutosha au???
Naapreciate kwa kuzidisha uaminifu.
Binafsi zote zimalizwa na maumimivu, naamini kuwa mwisho mzuri ndio hukumbukwa kuliko mwanzo nzuri mwisho uwe mbaya.
....optimists twasema, 'nyota njema!......'
pessimists ndio mtaokuja na hopes za mwisho mzuri...
e bana wee...kwenye mahusiano & mapenzi hakuna mwisho mzuri!
....optimists twasema, 'nyota njema!......'
pessimists ndio mtaokuja na hopes za mwisho mzuri...
e bana wee...kwenye mahusiano & mapenzi hakuna mwisho mzuri!
Mbu na MwanajamiiOne hivi mnajua nyinyi mkiandika kitabu cha malovee mtauza sana? Mmewahi fikiria hilo?
Ah NN mbona unaniangusha wewe!! ukinifanya Private Member wengine hawatofaidi bana please darling! hapahapaMupenzi wangu MwanajamiiOne, naweza funguka kwenye PM?
hahah mkuu usharobaro kazi unakumbuka hizo, zilikuwa sometimes posta wanazirudisha ivo ivo, hawazipokei wakizistukia? hivi tulikuwa tunafutia nini? kasponji kenye maji maji ivi?
(halafu mkuu, ushawai kujiuliza uliyekuwa unamwandikia na yupo wapi sasa hivi? definately 75% probability humumwoa)
...mwj1 we acha tu...nikikumbukia lunch break kwenye kiota cha serengeti,...
.......na ma chef waliokuwa wakijituma
kuhakikisha twaufaudu mlo wetu,....the whole experience is second to none...
kama nilivyotanabahisha hapo awali...it takes two...we had the best time of our lives...
nothing to regret kwakweli...labda muda tu haukutosha...i wish tungekaa huko wiki nzima labda,,,
hahhhhhhh!
Unaongelea kuoa au kuwowa?
Hahahahahaaaaaaaaaaaa hii nimeshindwa kujizuia kucheka....................Mzee DC nimesema memories za kukufanya ujisikie someone special.......je shoga anawezakufanya ujisikie someone special kwa umpendaye??Nani huyo? hebu eleza vizuri basi??
Inawezekana ulikuwa na shost wako akukupa umbeya wa kutosha au???
Mbu na MwanajamiiOne hivi mnajua nyinyi mkiandika kitabu cha malovee mtauza sana? Mmewahi fikiria hilo?
Ndo kusema hapo, mkuu, umekuwa rational? LOL (afu nahisi kama hii sredi inanikwanza ngoja niende kwa gadaffi)
...hahhh, nimjuavyo mwj1 atalifunga funga hili weee mpaka thread i expire.
nimemsoma, she'd the best 3days of her life...kwangu mie thats speaks volume.
...hapana,...we are soulmates,...ila hii retreat meant to be the beginning of something big,
the gamble paid off,....lol...
All in all, she's worth more than rubbies...kwa urembo wake na ninavyomthamini,
furaha yake ni faraja yangu,....sihitaji malipo zaidi ya ile furaha na tabasamu nilokuwa namuona nayo
tangu day 1 ya safari yetu...ahhhh...what a week end!
Mbu na MwanajamiiOne hivi mnajua nyinyi mkiandika kitabu cha malovee mtauza sana? Mmewahi fikiria hilo?
Hata mimi nakuunga mkono kabisa Remmy, yaani akyanani mimi sijawaiona hizi kitu, hata kukumbuka nyuma au sasa sitakagi kabisa!Tunawasubiri waliopitia watu madata, wengine ni ndoto mpaka sasa, all relations i had ni kero tu, sitaki hata kuzikumbuka.