Special message to Mama Janeth Magufuli

Leo CCM wamedhihirisha namna walivyo.

Mwenyekiti wa CCM Taifa alichokifanya ni kupoozesha hali na siyo kukemea upuuzi wa wazee wa chama ambao wamemtuma Makamba aseme kuwa wao ndo waliamua kukataa na kumtaka mungu wao afanye kilichomtokea JPM

Watanzania tunapaswa kutafakari sana haya maneno ambayo akina Nape, January na hatimaye yanasemwa kwa umma kupitia mkutano wa Kikatiba ws CCM.

Kuna maana kubwa sana kwa CCM kuendelea kushika madaraka. Nina mashaka namna vyombo vya dola vinavyonufaika na huu utawala wa kikatili wa CCM

Tutafakari. Tusiache kutafakari sana

2025 siyo mbali
 
Acha uchochezi na uchongqnishi mleta mada. Hakuna aliyemnanga jiwe leo. Hayo ni mawazo yako tu.

Hebu mtaje mtu aliyemtaja jiwe kwa jina lake. Vinginevyo ni uzushi na uzandiki tu unaojaribu kuueneza.
Unajaribu kujificha kwenye shamba la karanga.
 
Sawa
 
Pamoja na kumpa faraja Mama Janeth, tumuombee afahamu neno hili la maarifa, Mungu ana upande mmoja tu, hakunaga habari ya vugu vugu..mikutano ya ccm ni sherehe za kukufuru Muumba, ukitafuta sabab hasa ya kualika watu wenye hadhi kama yake Mama Janeth haionekani..lakini ukikubali kushiriki sherehe za aina hiyo, siku Mungu anapindua meza hutasalimika itakuwa bahati mbaya kwake..tumuombee ajue neno hili sherehe hizi si njema kwa maisha yake baada ya maisha ya hapa duniani.
 
Wako na Slaa toka kwenye Ukatoliki
I see...

Uongozi kazi sana aisee

Yaani nilivyokuwa namkubali MTAZAMO miaka ile, wallah kama ningekuwa Kiongozi wa CHADEMA ingekuwa nimeshampa madaraka bila kujua kwamba kumbe allegiance yake haikuwa kwenye chama bali kwa mtu!

Mi bhana wala sitaki kuwa mnafiki... binafsi sikutaka kabisa kumwelewa Mbowe kwa hatua yake ya kumwengua Slaa na kumleta EL, kwa sababu yule mzee nilikuwa namkubali sana!

Lakini kwa upande mwingine, nilitoa heshima kubwa sana na heshima hiyo itaendelea kubaki kwa wana-CHADEMA ambao hatimae walikuja kumgeuka Dr. Slaa pamoja na ukubwa wake kwenye chama!

Heshima yangu kwao ilikuwa ni ile kuonesha NO ONE IS BIGGER THAN chama kwa sababu haya mambo, weka mahaba yako kama yote kwa mtu wako lakini mwisho wa yote, CHAMA FIRST, mengine ndo yanafuata!
 
..hotuba nzima ya Mzee Makamba hii hapa.

..naomba muisikilize ili kutenda haki.

..kwa mtizamo wangu kuna baadhi yetu wanaikuza au kuipa tafsiri potofu kauli za Mzee Makamba.

..kinachoendelea hapa ni sehemu ya michezo michafu ya siasa.

 

Ukweli ni kwamba leo mtu mzima amekosea, ameropokwa na ametia aibu.
Kauli yake haikuwa ya afya na Rais amejua alimaanisha nini na ndio maana akashindwa kuikalia kimya.
Hawa wazee madaraka yamewalevya
 
Umenikumbusha makala za mwanakijiji enzi za JK mpaka niliamini ni mpinzani...

.....kumbe hakuwa mpinzani ila mpenzi wa Ccm aliyechoshwa na utawala wa JK tu ndio maana enzi ya JPM alirudisha majeshi.
Erythrocyte
 
..hotuba nzima ya Mzee Makamba hii hapa.

..naomba muisikilize ili kutenda haki.

..kwa mtizamo wangu kuna baadhi yetu wanaikuza au kuipa tafsiri potofu kauli za Mzee Makamba.

..kinachoendelea hapa ni sehemu ya michezo michafu ya siasa.

Huenda mahasimu wake wanajaribu...... "ku-capitalize hii kauli for political gain and public sympathy"....ila siasa mchezo mchafu Sana...

Ila ni vyema kuchunga kauli zetu tunapoongea mbele ya hadhara.
Chige Tindo Pascal Mayalla
 
Mungu amempa neema ya kuishi yule mzee leo anatukana wafu, baba tenda muujiza... iwe barabarani, au hata akinywa maji apaliwe, au hata akilala tu tuone imeisha iyo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…