Special message to Mama Janeth Magufuli

Heshimu hisia na machaguzi ya mtu, kutomoenda wewe sio lazima wote tuwe hivyo. Tupo aligusa maisha yetu huwezi pendwa na wote na huwezi kubarika na wote. Nina mpenda nitamkumkumbuka daima ni rais wangu daima moyoni na akilini

Kalinde kaburi chato. Kumpenda hakuzuii ukweli kuwa lilikuwa jizi la kura.
 
Ukweli ni kwamba Lissu kupona ndio kulikomfanya yule dikteta afe maana hakuamini ameponaje. Kupona kwa Lissu ndio kilikuwa kifo Cha dikteta. Damu ya mtu ni nzito kuliko maji.
Poa ngoja Basi Uhuru upo na demokrasia. Subiria watumikie wananchi wame relax. Vipi umeme ,.maji unapata ulipo lakini. Umesaini software ya tokea India ya 69bn kufuatilia umeme kukatika. Umecheki behewa. Sheria inakuja inatakiwa uwe na Taifa gesi ndani yako lazima. Bwawa la nyerere tunalizungusha kwanza ili tupate umeme wa gesi kwanza. Subiria tutor ardhi ya bagamoyo 100yrs kwanza. Mapato ya bandari yanaenda kwa wachina sema huku nje unafumbwa. Miktaba ya madini inaletwa uzito mdogo ili tule kwa urefu wa kamba upo lakini
 

Acha watu wamdiss. Tangu Magufuli amlime risasi Lissu nilimchukia Sana. Bora Mungu alimponya Lissu mtu mwema.
 
Angekubalika angeiba kura 2020?.
Unataka kusema lisu alipata Kura nyingi kuliko Magufuli?aisee anayefikira hivi amefika kiwango kidogo cha kufikiria.wanachama Tu wa CCM ni wengi kiasi cha kumpa mgombea ushindi ebu tumia akili sometimes.
 
Angekuwa nae anampenda Mumewe kihivyo muda mchache baada ya Kumzika angempigia Simu Mama yenu ( Mtemi ) aende akachukue Fedha nyingi zilizofichwa katika Chumba Maalum ( ambazo nikitaja Kiasi hapa ) Watanzania wote mtakasirika mkijua?

Ninaomba tu niishie hapa tafadhali..
 
Wengine hatukuwepo ...walisema nini?
Man,

Hao akina MTAZAMO wanajiona wao ndo wana uchungu zaidi na JPM kuliko hata Mama Janeth mwenyewe!!

Ni kutokana na hilo ndo maana wakiona mtu anaongea wasichotaka wao kukisikia basi wanamuona ana chuki dhidi ya JPM

In short, source ilikuwa hotuba ya Mzee Makamba, na kama kawaida yao, akaanza kumwagia sifa Samia! Wakati akiendelea na hizo sifa, ndipo akasema maneno haya:-
Wewe ni dhamana na zawadi ya Mwenyezi Mungu kwa Chama Cha Mapinduzi. Na Mwenyezi Mungu hawezi kuichukua dhamana hiyo upesi. Ukiondoka kabla ya 2025 Mungu atatupa mtu mwingine...
Baada ya kuongea hayo hadi JK akashika kichwa...

Sasa Mzee Makamba akaona amekosea kusema "Ukiondoka kabla ya 2025 Mungu atatupa mtu mwingine" na katika kujikosha, ndipo akasema maneno haya:-
Mama samahani sio nakutakia mabaya, watu wazuri hawafi. Ndo maana Kinana bado yupo. Ndo maana Jakaya bado yupo anadunda!
Sasa akina MTAZAMO ndo wanaona Makamba kamaanisha Magufuli alikuwa mtu mbaya ndo maana amekufa kumbe alikuwa anajikosha kutokana na kauli yake kwa SSH kwamba akiondoka kabla ya '25 Mungu atawapa mtu mwingine...

Cha ajabu, hata Mzee Mkapa amefariki... lakini kutokana na paranoia, wao wanaona kasemwa JPM...

Msikilie mwenyewe hapa...

 

Kama umeme bado ni shida na maji ni shida Magufuli alisaidia Nini?
 
Thanks for explaining better
 
Mtazamo ni mshika begi wa Dr Slaa , sasa baada ya Magufuli kuzikwa bakhishishi zimeisha , ndio maana unaona ngonjera hizi , yuko na mwenzake Mwanakijiji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…