Special message to Mama Janeth Magufuli

Acha uchochezi na uchongqnishi mleta mada. Hakuna aliyemnanga jiwe leo. Hayo ni mawazo yako tu.

Hebu mtaje mtu aliyemtaja jiwe kwa jina lake. Vinginevyo ni uzushi na uzandiki tu unaojaribu kuueneza.
Aisee kumbe kichwa umejaza utoko?
 
Mkuu Mtazamo kumbe uneijua Injili yoote hii lakini ukawa unafurahia Lissu Kupigwa risasi?

Leo ndio umeikumbuka Injili?

Mbona maneno ya Makamba ni ya kawaida tu. Wale ni wanasiasa wanapenda kuambiana vimaneno maneno saa nyingine havina hata maana.
 
Imesikitisha sana....ila kila chenye mwanzo kina mwisho.
 
Ninachokiona ni kuwa Makamba si wa kumpa jukwaa. Midomo yake haishirikiani na ubongo. Au vinginevyo amezeeka ki akili. Ama ni mbinafsi aliyepitiliza.

Jana kasemachovyo juu ya umeme.

Leo kadai wananchi hawahitaji katiba mpya wa Tume huru.

Mwisho kasema wazuri hawafi . Ndiyo maana kikwete na kinana wanaendelea kudunda. Huyu si wa kumpa podium
 
Ukweli kauli iliyotamkwa na msemaji huyo mbele yako Rais na waTanzania wengi, inakutia doa la ubinadamu huyu mzee ameyatamka hata yasiyo na mwelekeo kisa Kwa kuwa mtoto wake ana nafasi. Sasa na wewe mwenyewe uyatafakari hayo na Yale mwanae anayowatendea na Kuwajibu waTanzania!! Ifike mahali uelewe Hawa njaa Kali waliyoweka kwenye EC yako sio wote waaminifu ni wasaka tonge tu!! Kazi unayo.
 
kila mtu na mtazamo wake...
kila mtu na hulka yake...
ila kipato huleta majivuno cheo nacho pia mamlaka ya kulevya....
Sio kila mzee ana busara kumbuka hata wapumbavu pia huzeeka...

Watamdiss sana magufuli lakini kila mwenye macho na mzalendo aliona maendeleo aliyo yafanya...
r.i.p 𝕞𝕒𝕘𝕦𝕗𝕦𝕝𝕚 [emoji174]
 
Mkuu Mtazamo kumbe uneijua Injili yoote hii lakini ukawa unafurahia Lissu Kupigwa risasi?

Leo ndio umeikumbuka Injili?

Mbona maneno ya Makamba ni ya kawaida tu. Wale ni wanasiasa wanapenda kuambiana vimaneno maneno saa nyingine havina hata maana.
Sijawahi kufurahia Lissu kupigwa risasi. Baada ya Dr Slaa, Lissu ndio mwanasiasa ninayemhusudu. Mengine yana mengi nisingependa twende huko.
 
Nafikiri ni wakati wa yeye kuacha kuwakubalia au kupunguza kuhudhuria hasa katika Mambo yahusuyo siasa itamsaidia zaidi .
 
Alipomchagua Mwendazake kuwa mumewew kwa tabia zile akubali kubeba matokeo ya Matendo na kauli za Mwendazake..

Mimi huwa mafurahi Sana mnapoumia maana yule jamaa alikuwa anadhalilisha utu wa Wendie hadharani kwa kutukana na kutokea Sasa ashukuru amekufa Ila ndugu zake walionkaribu watabeba madhara yake daima..

Huwezi mtukana mtu mzima eti mpumbavu hadharani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…