Special message to Mama Janeth Magufuli

Umesema uwongo.

Alisema watu wazuri hawafi mapema, ndiyo maana Kikwete na Kinana bado wapo.
 
Umesema uwongo.

Alisema watu wazuri hawafi mapema, ndiyo maana Kikwete na Kinana bado wapo.
Si ndiyo maana yake watu wabaya wanakufa kama alivyokufa Dkt Magufuli, wale watu wema kama yeye Makamba hawatakuja kufa
 
Ma-rope kaongea maneno tu. Aliyesemwa yeye alifanya kwa vitendo.
 

Usichanganye kuelewana na kukubaliana na utakacho. Kutangazwa mshindi ni jambo tofauti na matokeo ya jumla ya uchaguzi. Kadiri miaka ilivyokuwa inasonga wagombea wa upinzani kura zao zilikuwa zinazidi kupanda. Na hiyo ni kuanzia udiwani, ubunge hadi kura urais kwani huo ndio uhalisia.

Labda uchaguzi chini ya Magufuli ulikuwa tofauti na uhalisia, wakati wa Magufuli malalamiko hayakuwa wizi wa kura bali kunajisi uchaguzi. Jitahidi uelewa hapo. Naona umejikita kwenye wizi, wakati kipindi cha wizi, kura za wapinzani zilikuwa zinazidi kupanda maana ndio uhalisia, lakini wakati wa Magufuli matokeo yakawa kinyume na uhalisia.
 
Mbona mama kaeleza vizuri kuwa hakuwa na nia mbaya alikuwa anajaribu kusahihisha aliposema Mama asipoweza asifike mwaka 2015 Mungu ataleta mwingine mzuri, ndipo akachomekea wazuri huwa hawafi.
Mama aliingia kwenye mind ya huyu ding ? Tafsiri inaconnect direct kutokana na phycho analysis watu waliyonayo juu ya kundi hili.ndani ya ccm .kwani nani.hawajui hawa ?
 
Kwenye kutangazwa mshindi ndio penye tatizo, hapo ndio ccm panapo wafanya waendelee kubaki madarakani, sasa wewe ambaye ulikuwa unasubiria kumzidi ccm kwa kura nyingi kwenye uchaguzi ndio nakuuliza nani atakutangaza wewe kuwa ndio mshindi au ndio yale ya marehemu Maalim Seif ya kujitangaza mwenyewe?

Ndiyo maana nakwambia kuwa ccm wamejimilikisha hiyo nafasi ya urais kuwa ni yao tu kivyovyote vile, watu wanasema ccm wanategemea dola kubaki madarakani watu wanataka tume huru ya uchaguzi yote hayo kwa sababu wameona tatizo lilipo. Ila wewe unaniambia mie napotosha na kwamba et upinzani kura zao zilikuwa zinaongezeka hivyo unaamini ingekuja kutokea upinzani kupata kura nyingi za urais na kupata urais!

Elewa kwamba tatizo sio ccm kuiba kura tu bali ni kwamba ccm wanatumia njia zozote zile ili kubaki madarakani, we kubali tu ukweli wa kwamba ccm wanawaanchia ubunge na udiwani ndio mgawane ili kubalance ila sio urais.
 
Si ndiyo maana yake watu wabaya wanakufa kama alivyokufa Dkt Magufuli, wale watu wema kama yeye Makamba hawatakuja kufa
Na kwanini iwe kama alivyokufa Magufuli na isiwe kama alivyokufa Mkapa au Nyerere?! Kwanini mumlishe maneno ambayo hajayasema na kuleta tafsiri mnazotaka nyinyi?!
 
Na kwanini iwe kama alivyokufa Magufuli na isiwe kama alivyokufa Mkapa au Nyerere?! Kwanini mumlishe maneno ambayo hajayasema na kuleta tafsiri mnazotaka nyinyi?!
Nyerere na Mkapa hawakufa katikati ya uongozi wao, walimaliza muda wao na wakastaafu. Lakini pia inajulikana hakukuwa na mahusiano mazuri kati ya Mzee Makamba na Magufuli, kwahiyo ipo wazi kwamba Mzee makamba kamkusudia Magufuli ambaye hakufika 2025 kumalizia awamu yake hivyo kwa sababu Samia ni mtu mzuri hivyo hutokufa kabla ya hiyo 2025 atakuwa hai kama JK na Kinana ambao bado wako hai.
 
Kuna mahali popote palisemwa kuhusu yeyote kufa katikati ya uongozi wake?! Maelezo yako yote ni ya kufanya assumptions.
 
Acha uchochezi na uchongqnishi mleta mada. Hakuna aliyemnanga jiwe leo. Hayo ni mawazo yako tu.

Hebu mtaje mtu aliyemtaja jiwe kwa jina lake. Vinginevyo ni uzushi na uzandiki tu unaojaribu kuueneza.
Ulitaka ataje jina? Kwahiyo yale maneno alikuwa amemulenga nani? Tena nusu aropoke ila kwakuwa nana alikuwepo akasita.
Mtu akifanya ubaya hawezi nyamaza lazima aropoke tu maana nafsi inamuuma.
 
Kitendo cha kusema eti mtu mzuri hafi kasoro tu ataje jina. Hivi unafikiri wanaweza nyamaza milele? Ndo wanajisema hivyo, subiri kwenye kampain tutaona mengi.

Rip jpm wetu mzuri
 
Kuna mahali popote palisemwa kuhusu yeyote kufa katikati ya uongozi wake?! Maelezo yako yote ni ya kufanya assumptions.
Kasema Samia wanamchagua hiyo 2025 na kama akifa wataweka mwengine ila akasema Samia hawezi kufa kwa sababu wazuri hawafi, sasa hapo unashindwa kuelewa nini kwamba kakusudiwa Magufuli ambaye wanamtambua kuwa ni mbaya na ndio aliyekufa kabla kufika 2025? Kwanza jiulize suala la wazuri na wabaya limekujaje na hao wabaya ni akina nani?
 
Kwani kiongozi aliyekufa ni jiwe peke yake? Mkapa, Nyerere, Kawawa, Karume, n.k hawakuwa viongozi?

Acheni kusambaza uzushi na uzandiki. Lkn bahati nzuri hamna cha kumfanya
😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏
 
Kwani kiongozi aliyekufa ni jiwe peke yake? Mkapa, Nyerere, Kawawa, Karume, n.k hawakuwa viongozi?

Acheni kusambaza uzushi na uzandiki. Lkn bahati nzuri hamna cha kumfanya
Hao uliyowataja ni watu wabaya kwa Mzee makamba? Tunajua Magufuli (aliye mrekodi Mzee Makamba) ndio mtu mbaya kwa Mzee makamba na ndio rais ambaye kafia madarakani hakumaliza muda wake wa uongozi hadi hiyo 2025, ndio maana Mzee makamba anamwambia Samia kuwa yeye atafika 2025 hatokufa kwa sababu ni mtu mzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…