Pray for u mwalim wangu. Natamani upewe Urais wewe wenye viriba vya roho waumukeHabari mama,
Pole sana kwa msiba wa mumeo!, alikuwa great leader na wananchi wengi wanamkumbuka kwa utumishi wake ingawa ulikuwa mfupi kuliko kiongozi yeyote aliyetawala nchi yetu.
Hiyo Pole niliyotoa ni ya kawaida kwasisi binadamu maana wote tumefiwa wapendwa wetu lakini lengo kuu ni Pole kwa unayosikia na kuona kejeli na kubagazwa kwa marehemu mume wako hadharani bila woga tena kwa mambo mengine yasiyo msingi.
Sikia mama, mume wako alitimiza wajibu wake bila kujali pale alipokosea lakini wewe u hai ubavu wake ukisikia maneno magumu sana. Pengine unalazimika kuwatia moyo watoto lakini wewe mwenyewe umebeba mzigo mzito.
Imagine hata leo maneno yaliyotamkwa mbele yako! Tushukuru mama Samia walau kutuliza moyo wako baada ya maneno magumu leo lakini sio rahisi.
Endelea kuvumilia malimwengu, endelea kuipenda Tanzania! Jipe moyo kama Bikira Maria alivyojipa moyo alivyoshuhudia mwanae akiteswa na kufa msalabani!
Endelea kujipa moyo kama Bikira Maria alivyovumilia hata waliomtenda ubaya Yesu walipoeneza uzushi dhidi yake kuwa wanafunzi wake wamemwiba hakufufuka. Haikuwa rahisi ila moja ya tunu tunayojifunza juu ya Bikira Maria mara nyingi ni yote aliyaweka moyoni!
Kasome utenzi wa Bikira Maria Luka 1: 46-55 Ukutie nguvu. All shall be well 🙏
Usinihusu vipi akati unaandika ujinga. Kama huna hoja ya maana usiilete JF, ukileta hoja ya kpumbavu utachez4a za uso. Nenda kaandike huko facebook kwa vichwa maji wenzioSio lazma ucomment vingine Uzi kama haukuhusu pita kimya
Miaka yote tunasikia malalamika ya wizi wa kura katika chaguzi zote watu wanajua ccm inaendelea kutawala kwa sababu ya wizi wa kura na kutumia nguvu ya dola, sasa wewe unataka kutuaminisha kwamba huo wizi wa kura kitu kipya alichokileta Magufuli.
Watu tumeacha kupiga kura toka hata Magufuli hajawa rais kutokana na kuona matokeo ya uchaguzi huwa yanajulikana hivyo hakuna uchaguzi ni upumbavu mtupu.
Haya Magufuli hayupo sasa tusubiri uchaguzi ujao tuone kama kuna jipya.
Mkuu Proved...Huenda mahasimu wake wanajaribu...... "ku-capitalize hii kauli for political gain and public sympathy"....ila siasa mchezo mchafu Sana...
Ila ni vyema kuchunga kauli zetu tunapoongea mbele ya hadhara.
Chige Tindo Pascal Mayalla
Magufuli anastahili kutukanwa kitaifa. Yaani iwepo siku ya kitaifa ya kumnangaUnadhani hatujui tofauti ya chaguzi chini ya Magufuli na nyingine? Kabla ya Magufuli CCM ilikuwa inaiba kura, na bado wapinzani walikuwa wanazidi kuongezeka. Magufuli alipoona kuiba hakutampa kura atakazo zaidi ya fedheha, akaamua kupora mchakato wa uchaguzi. Kama hujui tofauti ya hili basi huna ujualo.
Kwa age ile angewaachia kina Waitara wayaropoke haya...sio yeye..kiubinadamu kakosea mno..Kakosea sana...
Kwa hayo mameno inatakiwa huyo makamba auliwe haraka sana ni laana ya taifa ...sijui usalama wa taifa kaziyao ni gani ...mimi namlaani magufuli kwa kuwaacha hai wazee watatu katika hii nchi.Mh. Makamba baba yake January kasema kuwa Kinana na Kikwete hawajafa maana watu wabaya huwa wanakufa akimaanisha Dkt Magufuli alikuwa mtu mbaya ndiyo maana alikufa, Mkapa alikufa kwa sababu alikuwa mtu mbaya, Mwl Nyerere alikufa kwa sbabau alikuwa mtu mbaya, Mzee Karume alikufa kwa sababu alikuwa mtu Mbaya, Horace Kolimba alikufa kwa sababu alikuwa mtu Mbaya …..
Magufuli anastahili kutukanwa kitaifa. Yaani iwepo siku ya kitaifa ya kumnanga
Mnaomkumbuka ni nyie sukuma gang sisi bado tunamtafuta Ben SaananeHabari mama,
Pole sana kwa msiba wa mumeo!, alikuwa great leader na wananchi wengi wanamkumbuka kwa utumishi wake ingawa ulikuwa mfupi kuliko kiongozi yeyote aliyetawala nchi yetu.
Hiyo Pole niliyotoa ni ya kawaida kwasisi binadamu maana wote tumefiwa wapendwa wetu lakini lengo kuu ni Pole kwa unayosikia na kuona kejeli na kubagazwa kwa marehemu mume wako hadharani bila woga tena kwa mambo mengine yasiyo msingi.
Sikia mama, mume wako alitimiza wajibu wake bila kujali pale alipokosea lakini wewe u hai ubavu wake ukisikia maneno magumu sana. Pengine unalazimika kuwatia moyo watoto lakini wewe mwenyewe umebeba mzigo mzito.
Imagine hata leo maneno yaliyotamkwa mbele yako! Tushukuru mama Samia walau kutuliza moyo wako baada ya maneno magumu leo lakini sio rahisi.
Endelea kuvumilia malimwengu, endelea kuipenda Tanzania! Jipe moyo kama Bikira Maria alivyojipa moyo alivyoshuhudia mwanae akiteswa na kufa msalabani!
Endelea kujipa moyo kama Bikira Maria alivyovumilia hata waliomtenda ubaya Yesu walipoeneza uzushi dhidi yake kuwa wanafunzi wake wamemwiba hakufufuka. Haikuwa rahisi ila moja ya tunu tunayojifunza juu ya Bikira Maria mara nyingi ni yote aliyaweka moyoni!
Kasome utenzi wa Bikira Maria Luka 1: 46-55 Ukutie nguvu. All shall be well 🙏
Hii ndo tafsiri sahihi hasa...Unadhani hatujui tofauti ya chaguzi chini ya Magufuli na nyingine? Kabla ya Magufuli CCM ilikuwa inaiba kura, na bado wapinzani walikuwa wanazidi kuongezeka. Magufuli alipoona kuiba hakutampa kura atakazo zaidi ya fedheha, akaamua kupora mchakato wa uchaguzi. Kama hujui tofauti ya hili basi huna ujualo.
"Ukiondoka kabla ya 2025"Man,
Hao akina MTAZAMO wanajiona wao ndo wana uchungu zaidi na JPM kuliko hata Mama Janeth mwenyewe!!
Ni kutokana na hilo ndo maana wakiona mtu anaongea wasichotaka wao kukisikia basi wanamuona ana chuki dhidi ya JPM
In short, source ilikuwa hotuba ya Mzee Makamba, na kama kawaida yao, akaanza kumwagia sifa Samia! Wakati akiendelea na hizo sifa, ndipo akasema maneno haya:-
Baada ya kuongea hayo hadi JK akashika kichwa...
Sasa Mzee Makamba akaona amekosea kusema "Ukiondoka kabla ya 2025 Mungu atatupa mtu mwingine" na katika kujikosha, ndipo akasema maneno haya:-
Sasa akina MTAZAMO ndo wanaona Makamba kamaanisha Magufuli alikuwa mtu mbaya ndo maana amekufa kumbe alikuwa anajikosha kutokana na kauli yake kwa SSH kwamba akiondoka kabla ya '25 Mungu atawapa mtu mwingine...
Cha ajabu, hata Mzee Mkapa amefariki... lakini kutokana na paranoia, wao wanaona kasemwa JPM...
Msikilie mwenyewe hapa...
Yote uliyoouliza nimeyasema kwenye post hiyo hiyo uliyoi-quote! Kama unatarajia jibu lingine tofauti na hayo, SINA!"Ukiondoka kabla ya 2025"
Utata wenyewe umeanzia hapo, unaweza kufafanua kipi kimemfanya awaze hilo la Samia na kutokufika hiyo 2025? Halafu anamalizia watu wazuri hawafi.
Sasa hapo vinahusiana vp kufa kabla ya 2025 na suala la watu wazuri?
Naona una kaalbum kabisa ka picha za jpm..hongeraSawa mkuu. Ningekuwa na hicho kibali ningeenda kulinda kaburi. Nina mpenda sana.. Wewe na kundi lako kumchukia hakufanyi moyo wangu ugeuke yeye ni Rais wangu ingawa kafaView attachment 2440076
Wale watu 5 waliouwa na bomu pale Soweto kwenye mkutano wa chadema wakati huo rais akiwa jk na katibu mkuu wa ccm akiwa kinana huyo mungu wako atalipa lini?Mungu alishalipa 17 march 2021 kwa wale aliowafanyizia.
Kwani magu alikufanyia ukatili?Wakati mume wake anaendesha ukatili hakujua mwisho wa mumewe utakuwa mbaya? Hapo alipo anapewa mrejesho wa udhalimu wa mumewe.
Asante sana mkuu. Niambie boss mzima lakiniNaona una kaalbum kabisa ka picha za jpm..hongera
Mbona ccm bado inakubemenda?Kama ni wao inabidi tuwapongeze kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Vipi damu ya mwangosi?Ukweli ni kwamba Lissu kupona ndio kulikomfanya yule dikteta afe maana hakuamini ameponaje. Kupona kwa Lissu ndio kilikuwa kifo Cha dikteta. Damu ya mtu ni nzito kuliko maji.