wachimbakisima
Member
- Jul 2, 2016
- 26
- 16
Habari wana JF,
Lengo la uzi huu ni kutoa ushauri tu kwa wale wote jamaa zetu waliokosa sifa za kujiunga na shahada kupitia vigezo vilivyowekwa na TCU. Ushauri wangu ni kuwa sasa ni nafasi pekee ya kuvipindukia vyuo vilivyo chini ya veta ili kwenda kuchukua fani mbalimbali zitakazoweza kukusaidia baadaye kuliko kukata tamaa na kuendelea kuishi tu nyumbani. Veta wana fundisha fani nyingi nzuri na zina soko kubwa tu kama umeme,ujenzi,seremela nk.
Huu ni ushauri wangu nakaribisha masahihisho na maongezo.
Asanteni
Lengo la uzi huu ni kutoa ushauri tu kwa wale wote jamaa zetu waliokosa sifa za kujiunga na shahada kupitia vigezo vilivyowekwa na TCU. Ushauri wangu ni kuwa sasa ni nafasi pekee ya kuvipindukia vyuo vilivyo chini ya veta ili kwenda kuchukua fani mbalimbali zitakazoweza kukusaidia baadaye kuliko kukata tamaa na kuendelea kuishi tu nyumbani. Veta wana fundisha fani nyingi nzuri na zina soko kubwa tu kama umeme,ujenzi,seremela nk.
Huu ni ushauri wangu nakaribisha masahihisho na maongezo.
Asanteni