Ph-25
JF-Expert Member
- Nov 19, 2012
- 1,159
- 540
Umepata BWANA umempenda kweli kweli na UMEMLALAMIKIA sana eti kwanini HAKUPELEKI kwa WAZAZI wake KUKUTAMBULISHA!
JAMAA akagoma sana mwishowe akaona isiwe kesi AKAKUPELEKA!
Wewe badala hata u_take hiyo ADVANTAGE umefika tu siku ya kwanza umeshinda una_chart tuu!
Siku ya pili umeshinda una_chart ,tena ndio unajisifia kwenye GROUPS upo UKWENI kumbe wao WANAKUTAZAMA tu na KUKUPIMIA wala HAWAKWAMBII kitu!
Siku ya tatu WANAKWAMBIA leo ni ZAMU yako kupika!
Unaingia JIKONI unaona kila kitu kwako KIGENI.
Vya HUKU unaweka KULE vya KULE unaweka HUKU (yaani IN SHOT HUJUI KUPIKA CHOCHOTE)
SUFURIA unashika kama umeshika POWER BANK!
UNAPIKA na LIPSTICK MDOMO mwekunduuu utafikiri MTOTO wa JINI katoka KUFUNDISHWA KUNYONYA DAMU tena huku umevaa SAA! Loohh
Umevaa CULTURE zimejaa nusu ya MKONO umevaa Min SKIRT kama WAFANYAKAZI wa EMIRATES!
MSOSI wa WAKWE huwezi KUPIKA!
UKIAMBIWA hufai KUOLEWA unavuta MDOMO utafikiri umenyimwa USB CABLE ili u_bust SMARTPHONE yako!
Unaanza KULALAMIKA WAKWE HAWAKUPENDI!
Unalalamika weee, unashindwa kuelewa kuwa wewe ndo TATIZO!
Usitake KUOLEWA ukidhani MUMEO atakula CHIPS na wewe utakuwa unakula PIZZA kila siku!
Jifunze hata KUCHEMSHA chai basi.. au unadhani GOOGLE wataleta App ambayo unaweka USB kwenye SIMU yako halafu UNAIELEKEZEA kwenye SAHANI ina_PRODUCE MSOSI!
JIPANGE DADA usidhani NDOA ni kama KUPIGA SELFIE.
Nawaombea madada woote mjali kupika maana mwanaume anahitaji kula cha kula kitama toka kwa mkewe si house girl.
JAMAA akagoma sana mwishowe akaona isiwe kesi AKAKUPELEKA!
Wewe badala hata u_take hiyo ADVANTAGE umefika tu siku ya kwanza umeshinda una_chart tuu!
Siku ya pili umeshinda una_chart ,tena ndio unajisifia kwenye GROUPS upo UKWENI kumbe wao WANAKUTAZAMA tu na KUKUPIMIA wala HAWAKWAMBII kitu!
Siku ya tatu WANAKWAMBIA leo ni ZAMU yako kupika!
Unaingia JIKONI unaona kila kitu kwako KIGENI.
Vya HUKU unaweka KULE vya KULE unaweka HUKU (yaani IN SHOT HUJUI KUPIKA CHOCHOTE)
SUFURIA unashika kama umeshika POWER BANK!
UNAPIKA na LIPSTICK MDOMO mwekunduuu utafikiri MTOTO wa JINI katoka KUFUNDISHWA KUNYONYA DAMU tena huku umevaa SAA! Loohh
Umevaa CULTURE zimejaa nusu ya MKONO umevaa Min SKIRT kama WAFANYAKAZI wa EMIRATES!
MSOSI wa WAKWE huwezi KUPIKA!
UKIAMBIWA hufai KUOLEWA unavuta MDOMO utafikiri umenyimwa USB CABLE ili u_bust SMARTPHONE yako!
Unaanza KULALAMIKA WAKWE HAWAKUPENDI!
Unalalamika weee, unashindwa kuelewa kuwa wewe ndo TATIZO!
Usitake KUOLEWA ukidhani MUMEO atakula CHIPS na wewe utakuwa unakula PIZZA kila siku!
Jifunze hata KUCHEMSHA chai basi.. au unadhani GOOGLE wataleta App ambayo unaweka USB kwenye SIMU yako halafu UNAIELEKEZEA kwenye SAHANI ina_PRODUCE MSOSI!
JIPANGE DADA usidhani NDOA ni kama KUPIGA SELFIE.
Nawaombea madada woote mjali kupika maana mwanaume anahitaji kula cha kula kitama toka kwa mkewe si house girl.