Speaker wa Bunge kutokuwa Mwanachama

mgoshawampasa

Senior Member
Joined
Jul 30, 2014
Posts
105
Reaction score
27
Baada ya Muswada wa Petroli, sasa napata mantinki kwa nini Speaker asiwe Mwanachama wa Chama cha siasa.
 
msaada......kuna mfano wowote wa mabunge ya wenzetu yaliyowahi kuongozwa na spika asiye na upande wowote?
 
Dah nimetokea kuchukia sana kinachoendelea mjengoni na ctak kuamini kama ni Kweli.
 
Hapo ndo umuhimu wa kupiga kura za hasira unapokuja
 
spika kazingua sana....anabeba upande mmoja mwanzo mwisho,,sasa sijui ni kwa manufaa ya nani? au labda yeye sio mwananchi wa tz?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…