Space movies gani ni kali?

Space movies gani ni kali?

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
35,797
Reaction score
86,566
Kwa alie na space movies kali asisite kutupia jina la movie hiyo, ili tujifariji wapenzi wa movie hizo kipindi hichi Cha karantini..

Sifa zisiwe na uongo mwingiiii.. hiyo ni kwangu binafsi ila kwa niaba ya wengine itakuwa vyema ukitupia jina hata kama imekolezwa manjonjo😅
Ila iwe ni space movie Kali..

Kama ulishaziona hizi utajua napendelea za aina ipi..

MARTIAN
LIFE
INTERSTELLAR
AD ASTRAL.. list bado itaendelea.

Karibuni waungwana..
 
ARRIVAL

hii haijabase sana kama space movie ila dunia ilipata ugeni toka anga za mbali huko!,so wageni hao walikuja lkn kuwasiliana nao ikawa pata shika! Lugha wanayotumia mwe! Hatari tupu😅
Kama kuna wale wanaobisha lugha sio sayansi waitafute hii mnaweza pata kitu na kukufikirisha vitu kadhaa..
 


Life ninayoizungumzia ni hiyo hapo na hiyo ndo trela yake..
 
Kuna tofauti kati ya star wars na star trek?
Tofauti kubwa sanaaa!!
Star Wars ni vita kugombea kutawala ulimwengu (galaxies) wakati Star Trek ni safari kuzunguka maeneo mapya kwenye galaxies (kama zile safari za Vasco da Gama).
 
Armageddon..
Dunia hatarini kupigwa na asteroid kubwa.. suruhisho ni kutuma watu wakalipue asteroid hiyo kwa kutumia nyuklia! Na inatakiwa bomu hilo lipandikizwe kwa kuchimbwa so ktk crew lazima wahitajike wazee wa ku drill.. aliefatwa kuongoza hiyo timu na watu waliochaguliwa ni vituko..😅
But ndo wataalum wa kudrill sasa na hawajawahi kutoka nje ya dunia!..
Ni picha nzuri..

Swali unaweza kufa kwa kusave dunia..??

Deep impact
Idea inafanana na hiyo Armageddon.. mission zinawiana zote ni kwenda kulipua asteroid ambayo ingekuja kuigonga dunia,but mission yao ikafeli kwenye ulipuzi! Na ngoma ikakaribia duniani!
Hakuna msaada dunia inategemea isipokuwa nyinyi tu! Na mmefanya ulipuzi wakwanza lkn ngoma imegawanyika zimekuwa mavipande mawili!!😅

Kwa wapenzi wa space movies weekend hii tujitungue kutazama hizo
Mwenye majina ya space movies nzuri tupia hapa wengine huo ndo ulevi wetu..

Watu ambao ukituuliza ungependa utembelee wapi mi nakujibu sayari ya Jupiter..😜😜
Ndo sisi.
 
Interstellar kwasababu ni hard scifi movie. Sayansi inayotumika pale ipo as accurate as possible na inakufanya uwaze juu ya future of humanity.
Nyingine labda ni 2001 A Space Odyssey.
 
Armageddon..
Dunia hatarini kupigwa na asteroid kubwa.. suruhisho ni kutuma watu wakalipue asteroid hiyo kwa kutumia nyuklia! Na inatakiwa bomu hilo lipandikizwe kwa kuchimbwa so ktk crew lazima wahitajike wazee wa ku drill.. aliefatwa kuongoza hiyo timu na watu waliochaguliwa ni vituko..
But ndo wataalum wa kudrill sasa na hawajawahi kutoka nje ya dunia!..
Ni picha nzuri..

Swali unaweza kufa kwa kusave dunia..??

Deep impact
Idea inafanana na hiyo Armageddon.. mission zinawiana zote ni kwenda kulipua asteroid ambayo ingekuja kuigonga dunia,but mission yao ikafeli kwenye ulipuzi! Na ngoma ikakaribia duniani!
Hakuna msaada dunia inategemea isipokuwa nyinyi tu! Na mmefanya ulipuzi wakwanza lkn ngoma imegawanyika zimekuwa mavipande mawili!!

Kwa wapenzi wa space movies weekend hii tujitungue kutazama hizo
Mwenye majina ya space movies nzuri tupia hapa wengine huo ndo ulevi wetu..

Watu ambao ukituuliza ungependa utembelee wapi mi nakujibu sayari ya Jupiter..
Ndo sisi.
Hii ARMAGEDDON si yupo mzee mzima Bruce Wills na wale wachimba mafuta?
Au nimefananisha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ARMAGEDDON si yupo mzee mzima Bruce Wills na wale wachimba mafuta?
Au nimefananisha?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo yenyewe.. jamaa hakuiamini ile timu iliyokuwa imeandaliwa na NASA!
Akaomba ateue watu anaowaamini yeye ndo hao wenzake ila sasa walivyo akili mbovu..😂😅
Waliniacha hoi kipindi wanamfata yule mniga jamaa wameweka uzio wa magari mawili ye kapita halafu linaona raha tu😂😂
 
Armageddon..
Dunia hatarini kupigwa na asteroid kubwa.. suruhisho ni kutuma watu wakalipue asteroid hiyo kwa kutumia nyuklia! Na inatakiwa bomu hilo lipandikizwe kwa kuchimbwa so ktk crew lazima wahitajike wazee wa ku drill.. aliefatwa kuongoza hiyo timu na watu waliochaguliwa ni vituko..
But ndo wataalum wa kudrill sasa na hawajawahi kutoka nje ya dunia!..
Ni picha nzuri..

Swali unaweza kufa kwa kusave dunia..??

Deep impact
Idea inafanana na hiyo Armageddon.. mission zinawiana zote ni kwenda kulipua asteroid ambayo ingekuja kuigonga dunia,but mission yao ikafeli kwenye ulipuzi! Na ngoma ikakaribia duniani!
Hakuna msaada dunia inategemea isipokuwa nyinyi tu! Na mmefanya ulipuzi wakwanza lkn ngoma imegawanyika zimekuwa mavipande mawili!!

Kwa wapenzi wa space movies weekend hii tujitungue kutazama hizo
Mwenye majina ya space movies nzuri tupia hapa wengine huo ndo ulevi wetu..

Watu ambao ukituuliza ungependa utembelee wapi mi nakujibu sayari ya Jupiter..
Ndo sisi.
October sky
Contact
Hidden Figures
Passengers
First man
The Right Stuff
The Martian
Apollo 13
2001: A space oddysey
Moon
Ad Astra
Solaris



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Interstellar kwasababu ni hard scifi movie. Sayansi inayotumika pale ipo as accurate as possible na inakufanya uwaze juu ya future of humanity.
Nyingine labda ni 2001 A Space Odyssey.
Ongeza vitu.. nina hamu nazo sana ila interstellar ilinichukua muda kuimaliza nilikuwa naona ya kawaida na ingekuwa ni season sidhani kama ningeiangalia!
 
Ndo yenyewe.. jamaa hakuiamini ile timu iliyokuwa imeandaliwa na NASA!
Akaomba ateue watu anaowaamini yeye ndo hao wenzake ila sasa walivyo akili mbovu..
Waliniacha hoi kipindi wanamfata yule mniga jamaa wameweka uzio wa magari mawili ye kapita halafu linaona raha tu
Wale wehu kweli wale.
Ila jamaa akijitoa kafara ya kulipua ile miàmba ya kimondo.

Director kajitahidi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom