Mwanzi1
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 6,000
- 4,586
Tukiongele Kenya tunaonge moja kwa moja na waKenya, sio nyinyi shida za SA mna mropokea Tanzania. Sasa na sisi tuwalaumu shida za South Sudan??Mnakumbushiwa tu kwamba majanga ya ukame ni jambo la kawaida hata kwa hao mabwana zenu SA. Kila mkisikia janga la ukame Kenya huwa mnatiririka huku mkishabikia hadi uzi unafikia kurasa ishirini.