South African Unique Songs (addiction) Shuhudia Ladha za Kipekee

Nadhani kichwa cha thread kinajieleza,
kwa upande wangu mimi nimejikuta kwa muda mrefu napenda sana miziki/nyimbo kutoka S.A, na hii ni kutokana na upekee wa nyimbo hizo zina ladha ya tofauti sana!!

Kupitia thread hii nitakuwa nawawekea list ya nyimbo hizo ambazo najua hautojutia muda wako kuzisikiliza!

Ikumbukwe kwamba hizi sio zile kwaito ulizozoea kuziskia maana wengine wakisikia South Africa wanawaza Kwaito tu kumbe hawajui kama kuna miziki mizuri tu na yakipekee!
Mlindo ft Kwesta &thabsie -Macala

Cici -Amandla Akho

Donald -Landela Remix

The Nameless Band-Masiyeke

Miss Pru- Wena wedwa

Cici - Ndidinge

Miss pru -Sondela

Sjava- Umama

Mlindo - Amablesser
Umeniwahi mkuu kuweka nyimbo ya mlindo -Amablesser ni bonge ya pini
Hamna kitu..Bora nisikilize a..e..i..o..UNO.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani kichwa cha thread kinajieleza,
kwa upande wangu mimi nimejikuta kwa muda mrefu napenda sana miziki/nyimbo kutoka S.A, na hii ni kutokana na upekee wa nyimbo hizo zina ladha ya tofauti sana!!

Kupitia thread hii nitakuwa nawawekea list ya nyimbo hizo ambazo najua hautojutia muda wako kuzisikiliza!

Ikumbukwe kwamba hizi sio zile kwaito ulizozoea kuziskia maana wengine wakisikia South Africa wanawaza Kwaito tu kumbe hawajui kama kuna miziki mizuri tu na yakipekee!
Stunter....

Sasa hivi game wanalimiliki hawa vijana wawili.

Blaq Diamond.

Kila station unayowasha unawaskia wao tu.

You got price to pay.
Love letter
Dumelang
Molo
 
Taratibu watu wataanza kuwaelewa, naona MasterKG amewafungulia mlango.
Muziki wao ni mkubwa saana....hata zaidi ya Nigeria.

Nigeria wana kelele tu. Ila wanamuziki mkubwa saana. Na soko lao limejitosheleza..... na biashara ya muziki wao inalipa hata usiposikilizwa nchi jirani.

SA ndiyo taifa lenye entertainment industry yenye nguvu barani Africa.
 
Halafu vipi kwaito instrumental zinazopigwaga kwenye masherehe
Tuwekeeeni ama tutajieni hata majina tukazitafute zile zinakuwaga ni beat tu
 
Cc STUNTER

Sikiliza hizi amapiano tracks.





Hii Mang'dikawe beat lake sio la Dunia hii aseeh.
 
Back
Top Bottom