Kuna zile nyimbo za hamasa za ukombozi zilizoimbwa kwenye filamu ya Sarafina. Wale walioimba ni one of the best choirs in the worldMkombokti African beer
Umeniwahi mkuu kuweka nyimbo ya mlindo -Amablesser ni bonge ya piniCici -Amandla Akho
Donald -Landela Remix
The Nameless Band-Masiyeke
Miss Pru- Wena wedwa
Cici - Ndidinge
Miss pru -Sondela
Sjava- Umama
Mlindo - Amablesser
Nilijua me mwenyewe ndo napenda ladha za south kumbe tupo wengiMacala ni my favorite song ya muda wote....
Pamoja mkuu ngoja nizipakueMi mwenyewe nilidhani ni mimi tu hahaha....
sasa mkuu kamata playlist nilizoweka hapo juu kisha uone jinsi wanavyojua
Nadhani kichwa cha thread kinajieleza,
kwa upande wangu mimi nimejikuta kwa muda mrefu napenda sana miziki/nyimbo kutoka S.A, na hii ni kutokana na upekee wa nyimbo hizo zina ladha ya tofauti sana!!
Kupitia thread hii nitakuwa nawawekea list ya nyimbo hizo ambazo najua hautojutia muda wako kuzisikiliza!
Ikumbukwe kwamba hizi sio zile kwaito ulizozoea kuziskia maana wengine wakisikia South Africa wanawaza Kwaito tu kumbe hawajui kama kuna miziki mizuri tu na yakipekee!
Ziweke hapo Baan tuzisikieMlindo ft Sjava - Egoli
Kwesta - kethile kethile
Vatel - Moozlie
Prince kaybee - Banomoya
Prince kaybee - Gugulethu
Que deep- Baby are you coming
Vusi nova - Ndikuthandile
Thee legacy - so good
Thee legacy - Thando
Khaya mthethwa- You're doing a new thing
Khaya mthethwa- Name above
Naima kay - Thando
Umeniwahi mkuu kuweka nyimbo ya mlindo -Amablesser ni bonge ya pini
Asante kwa maoni yako, kwenye uzi huu labda mtu akishindwa kuupata wimbo fulani ndio tutamsaidia kuuweka hapa.