South African Unique Songs (addiction) Shuhudia Ladha za Kipekee

STUNTER

JF-Expert Member
Dec 15, 2015
13,077
17,205
Nadhani kichwa cha thread kinajieleza,
kwa upande wangu mimi nimejikuta kwa muda mrefu napenda sana miziki/nyimbo kutoka S.A, na hii ni kutokana na upekee wa nyimbo hizo zina ladha ya tofauti sana!!

Kupitia thread hii nitakuwa nawawekea list ya nyimbo hizo ambazo najua hautojutia muda wako kuzisikiliza!

Ikumbukwe kwamba hizi sio zile kwaito ulizozoea kuziskia maana wengine wakisikia South Africa wanawaza Kwaito tu kumbe hawajui kama kuna miziki mizuri tu na yakipekee!
 
Fanya kama Uzi wa huyu mwamba hapa, ameweka nyimbo zote za mahadhi ya kiafrica, zaidi sana Congo.

 
Sio wewe tu mimi mwenyewe naona nimekuwa mlevi kabisaa haipiti siku bilakuzisikiliza
Nadhani kichwa cha thread kinajieleza,
kwa upande wangu mimi nimejikuta kwa muda mrefu napenda sana miziki/nyimbo kutoka S.A, na hii ni kutokana na upekee wa nyimbo hizo zina ladha ya tofauti sana!!

Kupitia thread hii nitakuwa nawawekea list ya nyimbo hizo ambazo najua hautojutia muda wako kuzisikiliza!

Ikumbukwe kwamba hizi sio zile kwaito ulizozoea kuziskia maana wengine wakisikia South Africa wanawaza Kwaito tu kumbe hawajui kama kuna miziki mizuri tu na yakipekee!
 
Mlindo ft Sjava - Egoli

Kwesta - kethile kethile

Vatel - Moozlie

Prince kaybee - Banomoya

Prince kaybee - Gugulethu

Que deep- Baby are you coming

Vusi nova - Ndikuthandile

Thee legacy - so good

Thee legacy - Thando

Khaya mthethwa- You're doing a new thing

Khaya mthethwa- Name above

Naima kay - Thando
Ziweke hapo Baan tuzisikie
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom