Source ya ndoa: upendo au kipato

Source ya ndoa: upendo au kipato

Zack

Member
Joined
Jun 22, 2012
Posts
18
Reaction score
3
Weekend hii mida ya jioni tukiwa tunajiaandaa kwenda kwenye part ya harusi ya rafiki yetu ndipo mada hii ilipozuka na kutuchanganya wadau.

Baadhi yetu tukasema upendo ndio chanzo kikuu cha ndoa lakini tulipata upinzani mkali toka kwa upande mwingine wakisema kipato ndio chanzo cha ndoa.

Hoja ikawa ni hivi kwani kijana anaweza akaoa au kuolewa na wakaishi vizuri kutoka na kuwa na upendo baina yao ingalikuwa wanaweza kuwa na kipato kidogo,lakini upande mwingine wakasema kwanza kufunga harusi tu lazima uwe na kipato(kutokana na gharama za harusi kipindi hiki)

Hatuweza fika conclusion so naomba wadau mchangie pia ili kuweza kupata conclusion nzuri.
 
Weekend hii mida ya jioni tukiwa tunajiaandaa kwenda kwenye part ya harusi ya rafiki yetu ndipo mada hii ilipozuka na kutuchanganya wadau.

Baadhi yetu tukasema upendo ndio chanzo kikuu cha ndoa lakini tulipata upinzani mkali toka kwa upande mwingine wakisema kipato ndio chanzo cha ndoa.

Hoja ikawa ni hivi kwani kijana anaweza akaoa au kuolewa na wakaishi vizuri kutoka na kuwa na upendo baina yao
ingalikuwa wanaweza kuwa na kipato kidogo,lakini upande mwingine wakasema kwanza kufunga harusi tu lazima uwe na kipato(kutokana na gharama za harusi kipindi hiki)

Hatuweza fika conclusion so naomba wadau mchangie pia ili kuweza kupata conclusion nzuri.

NEITHER OF THE TWO....Wazee wetu wengi walioana bila vigezo hivyo ulivyotaja. Ni vigezo hivyo vyaweza kupungua kadiri muda unavyoendelea kimaisha. Ndoa ni zaidi ya hayo mambo mawili!
 
Chochote kilichowafanya mkaishi pamoja ndio source ya ndoa.

Kuna wengine ndoa inakuwa valid tu wakiwa wamelewa, nao pombe ndio source ya ndoa yao.
 
Kinadharia na kivitendo upendo unapaswa(na bila shaka ndoa zilizosimama ni kwa sababu ya kuwepo kwa upendo).Ingawa utandawazi(ni kutokuelewa) unafanya watu wahisi pato (fedha)ndio kila kitu,hii sio na haipswi kua kwaeli,iko hivyo tangu mwanzo,ndivyo inapswa kuwa hata sa hivi na itabakia hivyo daima.
Lakini watu lazima tufike mahali tutambue tofauti iliyopo baina ya ndoa,ngono(sex), na mapenzi watu wengi wa(tu)nachanganya hapa,i.e ndoa sio bidhaa inayotegemea kuuzwa au kununuliwa,unaweza kununua ngono(sex) lakini kamwe huwei kununu mapenzi(upendo,love),itakapokuwa lazima kununu mapenzi yatanunuliwa kwa si fedha,nyumb aau magari bali upendo wenyewe!
 
acha kuuliza debate questions za secondary school.
  1. upendo unahitajika bcoz w/o it, hakuna ndoa.
  2. pesa inahitajika bcoz food/shelter/clothes/education etc need money ku-sustain maisha ya ndoa.
 
@ Blaine
Sawa kaka lakini ujajibu swali,je ni upendo ama ni pato.
 
Zaidi ya hapo watu wanachanganya mapenzi na hisia za mapenzi,sifa kubwa ya upendo(mapenzi) ni long lasting,lakini hisia za mapenzi huwa zinaishi kwa kubadilikabadilika.nitatoa mfano:-
kuna vitu unaweza kuvipenda leo usivipende kesho,leo unaweza kupenda kwenye mlo wa mchana ule ubwabwa,lakini kesho yake usipende kitu hicho ,hizo ni hisia tu na si mapenzi,
Hoja ya pili mapenzi huelekezwa(huwekwa) kwa watu na si vitu ndio maana tunawapenda marafiki zetu,ndugu zetu ,wazazi wetu na hata wenzi wetu,mfano ni wazi kumpenza mzazi wako hata kama kakufanyia mabaya(ingawa mara nyingine zipo kasi za watu kutowapenda wazazi wao),lakini hisia za upendo kwenye vitu ,mfano mtu anaweza kuanza mahusiano na mtu kwa kupenda kitu alicho nacho mtu husika .labda mali,maumbile,n.k
Hoja ya tatu hisia huwa na tabia ya kubadilikabadilika leo kuwa na hisia kali za kupenda kwenda mahali fulani,au kufanya kitu fulani lakini kesho kuwa na hoisia tofauti na leo!
 
nina uhakika huna proof ya hoja yako, utakuwa umejiandikia tu:A S 2152:
Naheshimu mawazo yako....Nadhani hujawahi kukutana na mtu aliyechaguliwa mke na wazazi/ wazee na wakaishi maisha yao bila kipato cha kutisha huko kwa vijiji vyetu. Unconditional love (Loving without expectations) is all what matters!
 
Back
Top Bottom