Hometheater ungechukua ya sonny ndiyo uone utamu wake, sonny kwenye

sound wapo vizuri
Home theater ni balaa Mkuu, ukikutana na za kisasa hizi huhangaiki kabisa kuseti base, loud stereo sounds wala sounds quality.
Yani ukishika music remote wewe unachagua tu settings za sound effects "Jazz, Classic, Bass etc" kama kwenye simu vile, mfano mimi nimeseti kwenye Bass yani kila mziki unajichuja kwa kiwango kile kile kilichopikwa nacho studio, sasa ukikutana na miziki iliyoenda shule ya mamtoni kwa hip-hop, R & B, zouk, raggae, raggae danso, country music na ukarudi African musics kama bolingo, old bongo flavors, Zulu, ni shiiida.
Bado gospel songs kama za Bahati Bukuku, Matha Mwaipaja, Cristina Shusho, Ambassadors of Christ, Light Bearers, Ambwene, Rose Muhando, Mabibo L.C, A.I. C Makongoro, Addo November, Medric Sanga, Abiud, Rebecca, Paul Mwai, Psalmist, Prospa Ochimana, Sinach etc huwa najihisi naelea mawinguni kabisa.
Home Theater ni habari nyingine kabisa kwa mziki tulivu wa nyumbani.