Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
Kama asingekuwa shemeji yangu ningesema ana akili za kitimoto
weazir simba alliulizwa majuzi inakuwaje kuhusu sakata la rada
akiwa na akili zake timamu ajanywa pombe aliijibu ajapata taarifa
wakati huo huo taarifa zimezagaa mpaka jf,achilia hilo akaombwa
atafute hzo taarifa akasema anasubiri zimfikie ndipo ajue atafanya nini
mmmmm kweli rais hapa una mgodi
weazir simba alliulizwa majuzi inakuwaje kuhusu sakata la rada
akiwa na akili zake timamu ajanywa pombe aliijibu ajapata taarifa
wakati huo huo taarifa zimezagaa mpaka jf,achilia hilo akaombwa
atafute hzo taarifa akasema anasubiri zimfikie ndipo ajue atafanya nini
mmmmm kweli rais hapa una mgodi