PreGE2025 Sophia Mwakagenda anafaa kuwa Mbunge wa Jimbo la Rungwe

PreGE2025 Sophia Mwakagenda anafaa kuwa Mbunge wa Jimbo la Rungwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

George Bush

Member
Joined
Sep 8, 2024
Posts
58
Reaction score
42
Mwanasiasa machachari ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh Sophia Mwakagenda amewatisha VIGOGO wa Siasa za Jimbo la Rungwe baada ya kuchukua fomu ya kuomba ridhaa kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Jana!

Mh Sophia anaomba ridhaa hiyo kwa Chama Jimboni Rungwe huku akiwa na mafanikio lukuki katika kuwatumikia Wana Rungwe wakati wa Ubunge wake wa Viti Maalum kwa miaka kumi!

Sophia anatajwa kuacha alama za mfano katika Maendeleo ya Wana Rungwe kuliko watia nia wote jimboni humo!

Ni wazi kuwa jina lake litatoboa kati ya wateule watatu wa Chama na kuja kupigiwa kura na Mkutano Mkuu wa CCM wa Jimbo la Rungwe!

Na ndio hapo naona kwa 100% Mh Mwakagenda "atatoboa" asubuhi na MAPEMA!

Uledi!
 
Mwanasiasa machachari ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh Sophia Mwakagenda amewatisha VIGOGO wa Siasa za Jimbo la Rungwe baada ya kuchukua fomu ya kuomba ridhaa kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Jana!

Mh Sophia anaomba ridhaa hiyo kwa Chama Jimboni Rungwe huku akiwa na mafanikio lukuki katika kuwatumikia Wana Rungwe wakati wa Ubunge wake wa Viti Maalum kwa miaka kumi!

Sophia anatajwa kuacha alama za mfano katika Maendeleo ya Wana Rungwe kuliko watia nia wote jimboni humo!

Ni wazi kuwa jina lake litatoboa kati ya wateule watatu wa Chama na kuja kupigiwa kura na Mkutano Mkuu wa CCM wa Jimbo la Rungwe!

Na ndio hapo naona kwa 100% Mh Mwakagenda "atatoboa" asubuhi na MAPEMA!

Uledi!
Pumbavu huyo hata kuhoji wageni anaowaalika mwenyewe pale TBC Imekuwa changamoto.
Ataweza ubunge???
Au kwakuwa anagombea ccm kwenye wizi wa kura???
 
Unamjua Mbije?, Mwakagenda laba waingie 300, jamaa yuko focused sana , matatizo, kero, furaha za wanarungwe anazijua nje ndani, ni mtu sahihi sana kwa maendeleo ya Rungwe
Huyo Mbije ni yupi ana undugu na wale Mbije wa Msasani/makandana?
 
Mwanasiasa machachari ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh Sophia Mwakagenda amewatisha VIGOGO wa Siasa za Jimbo la Rungwe baada ya kuchukua fomu ya kuomba ridhaa kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Jana!

Mh Sophia anaomba ridhaa hiyo kwa Chama Jimboni Rungwe huku akiwa na mafanikio lukuki katika kuwatumikia Wana Rungwe wakati wa Ubunge wake wa Viti Maalum kwa miaka kumi!

Sophia anatajwa kuacha alama za mfano katika Maendeleo ya Wana Rungwe kuliko watia nia wote jimboni humo!

Ni wazi kuwa jina lake litatoboa kati ya wateule watatu wa Chama na kuja kupigiwa kura na Mkutano Mkuu wa CCM wa Jimbo la Rungwe!

Na ndio hapo naona kwa 100% Mh Mwakagenda "atatoboa" asubuhi na MAPEMA!

Uledi!
Naona "member" Sophia umekuja na new ID.
 
Back
Top Bottom