Soon Mwanza itakua gridlocked kama Dar es Salaam.

Soon Mwanza itakua gridlocked kama Dar es Salaam.

Mukulu wa Bakulu

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2014
Posts
4,050
Reaction score
12,966
Salam.

Nimetembelea Mwanza hivi karbuni baada ya miaka michache kupita. Last time nilifika pale 5 years ago.

Mji umebadilika sana, miundombinu imeboresheka na mingine kuongezeka mfano Rock city mall, iko bomba kuliko mlimani city, nimeona pia barabara ya kwenda uwanja wa ndege ikipanuliwa ziwe mbili.

Tatizo moja nililoliona Mwanza itakuja kua kama Dar very soon, tatizo lake ina njia tatu za kuingia na kutoka, ile njia ya Musoma, njia ya Nyegezi(Shinyanga) na njia ya kwenda uwanja wa ndege, hii haiendi mbali zaidi ya Igombe.

Mji unapanuka na kuongeza idadi ya watu miundombinu ikiwa ile ile, mvua ikinyesha kidogo mafuriko mjini kati kama vile Jangwani, mji unakua haupitiki, mfumo wa maji taka ni hovyo.


Nashangaa kwa nini serikali haitaki kuliona hilo mapema ihamishe ofisi zake nje ya mji ili kuja kuondoa usumbufu baadae.

Mwanza watu bado wana utamaduni wa kula nyumbani, migahawa ya maana ni michache sana, unaweza kutoka uwanja wa ndege kupata mgahawa wa maana hadi mjini, fast food and take away centres bado chache sana. Bado u-local ni mwingi sana maana baskeli bado zinatapakaa city centre za wauza maziwa nk.

Kwa ujumla safari yangu ya Mwanza ilikua nzuri sana ilikua ya kupendeza na ilikua ya mafanikio. Ntarudi kula sato, by the way mimi ni mlake zone.
 
Salam.

Nimetembelea Mwanza hivi karbuni baada ya miaka michache kupita. Last time nilifika pale 5 years ago.

Mji umebadilika sana, miundombinu imeboresheka na mingine kuongezeka mfano Rock city mall, iko bomba kuliko mlimani city, nimeona pia barabara ya kwenda uwanja wa ndege ikipanuliwa ziwe mbili.

Tatizo moja nililoliona Mwanza itakuja kua kama Dar very soon, tatizo lake ina njia tatu za kuingia na kutoka, ile njia ya Musoma, njia ya Nyegezi(Shinyanga) na njia ya kwenda uwanja wa ndege, hii haiendi mbali zaidi ya Igombe.

Mji unapanuka na kuongeza idadi ya watu miundombinu ikiwa ile ile, mvua ikinyesha kidogo mafuriko mjini kati kama vile Jangwani, mji unakua haupitiki, mfumo wa maji taka ni hovyo.


Nashangaa kwa nini serikali haitaki kuliona hilo mapema ihamishe ofisi zake nje ya mji ili kuja kuondoa usumbufu baadae.

Mwanza watu bado wana utamaduni wa kula nyumbani, migahawa ya maana ni michache sana, unaweza kutoka uwanja wa ndege kupata mgahawa wa maana hadi mjini, fast food and take away centres bado chache sana. Bado u-local ni mwingi sana maana baskeli bado zinatapakaa city centre za wauza maziwa nk.

Kwa ujumla safari yangu ya Mwanza ilikua nzuri sana ilikua ya kupendeza na ilikua ya mafanikio. Ntarudi kula sato, by the way mimi ni mlake zone.
fanya kazi
 
Salam.

Nimetembelea Mwanza hivi karbuni baada ya miaka michache kupita. Last time nilifika pale 5 years ago.

Mji umebadilika sana, miundombinu imeboresheka na mingine kuongezeka mfano Rock city mall, iko bomba kuliko mlimani city, nimeona pia barabara ya kwenda uwanja wa ndege ikipanuliwa ziwe mbili.

Tatizo moja nililoliona Mwanza itakuja kua kama Dar very soon, tatizo lake ina njia tatu za kuingia na kutoka, ile njia ya Musoma, njia ya Nyegezi(Shinyanga) na njia ya kwenda uwanja wa ndege, hii haiendi mbali zaidi ya Igombe.

Mji unapanuka na kuongeza idadi ya watu miundombinu ikiwa ile ile, mvua ikinyesha kidogo mafuriko mjini kati kama vile Jangwani, mji unakua haupitiki, mfumo wa maji taka ni hovyo.


Nashangaa kwa nini serikali haitaki kuliona hilo mapema ihamishe ofisi zake nje ya mji ili kuja kuondoa usumbufu baadae.

Mwanza watu bado wana utamaduni wa kula nyumbani, migahawa ya maana ni michache sana, unaweza kutoka uwanja wa ndege kupata mgahawa wa maana hadi mjini, fast food and take away centres bado chache sana. Bado u-local ni mwingi sana maana baskeli bado zinatapakaa city centre za wauza maziwa nk.

Kwa ujumla safari yangu ya Mwanza ilikua nzuri sana ilikua ya kupendeza na ilikua ya mafanikio. Ntarudi kula sato, by the way mimi ni mlake zone.
Uijui vizuri Mwanza
 
Tatizo la Mipango miji ni kubwa mnoo hapa Tanzania Wakuu wa Mikoa inatakiwa hasa wasimamie masuala kama haya..
 
Salam.

Nimetembelea Mwanza hivi karbuni baada ya miaka michache kupita. Last time nilifika pale 5 years ago.

Mji umebadilika sana, miundombinu imeboresheka na mingine kuongezeka mfano Rock city mall, iko bomba kuliko mlimani city, nimeona pia barabara ya kwenda uwanja wa ndege ikipanuliwa ziwe mbili.

Tatizo moja nililoliona Mwanza itakuja kua kama Dar very soon, tatizo lake ina njia tatu za kuingia na kutoka, ile njia ya Musoma, njia ya Nyegezi(Shinyanga) na njia ya kwenda uwanja wa ndege, hii haiendi mbali zaidi ya Igombe.

Mji unapanuka na kuongeza idadi ya watu miundombinu ikiwa ile ile, mvua ikinyesha kidogo mafuriko mjini kati kama vile Jangwani, mji unakua haupitiki, mfumo wa maji taka ni hovyo.


Nashangaa kwa nini serikali haitaki kuliona hilo mapema ihamishe ofisi zake nje ya mji ili kuja kuondoa usumbufu baadae.

Mwanza watu bado wana utamaduni wa kula nyumbani, migahawa ya maana ni michache sana, unaweza kutoka uwanja wa ndege kupata mgahawa wa maana hadi mjini, fast food and take away centres bado chache sana. Bado u-local ni mwingi sana maana baskeli bado zinatapakaa city centre za wauza maziwa nk.

Kwa ujumla safari yangu ya Mwanza ilikua nzuri sana ilikua ya kupendeza na ilikua ya mafanikio. Ntarudi kula sato, by the way mimi ni mlake zone.
Njia ya maji hii kwa bukoba na nchi nyingine za east africa. Kwa hali ya mwanza hii ndo njia inayo konnect na nchi jirani
 
Vyeti feki vilivyotamalaki mnategemea nini?

Hata hao wenye vyeti orijino wanakwenda makazini wanakuta wenye "uzoefu" ndio hao mapoyoyo mnategemea nini?

Kwanza mjirekebishe wenyewe kabla hamjalialia.

Mnalalamika wakati nyie wenyewe ndiyo tatizo?

Anzeni kwa kuacha kuvaa mitumba. Labda vichwa vitafunguka. Acheni kutumia magari ya mitumba.

Acheni kutumia vipuli vya mitumba.

Mpaka fikra na mawazo yenu ni mitumba tu hamna jipya.

Nchi nzima mnavaa nguo za marehemu, mnaendesha magari ya marehemu, mnategemea nini zaidi kama siyo kuwa kama maiti tu?
 
Tatizo watu wanaishi milimani kama pimbi, halafu nyumba zao za milimani hazina vyoo.
 
Vyeti feki vilivyotamalaki mnategemea nini?

Hata hao wenye vyeti orijino wanakwenda makazini wanakuta wenye "uzoefu" ndio hao mapoyoyo mnategemea nini?

Kwanza mjirekebishe wenyewe kabla hamjalialia.

Mnalalamika wakati nyie wenyewe ndiyo tatizo?

Anzeni kwa kuacha kuvaa mitumba. Labda vichwa vitafunguka. Acheni kutumia magari ya mitumba.

Acheni kutumia vipuli vya mitumba.

Mpaka fikra na mawazo yenu ni mitumba tu hamna jipya.

Nchi nzima mnavaa nguo za marehemu, mnaendesha magari ya marehemu, mnategemea nini zaidi kama siyo kuwa kama maiti tu?
Duuu !
 
Tatizo la Mipango miji ni kubwa mnoo hapa Tanzania Wakuu wa Mikoa inatakiwa hasa wasimamie masuala kama haya..
Tatizo siyo mipango miji bro.. tatizo ni umbali uliopo kati ya wananchi na hao wanaopanga miji. Wananchi hawana idea, wala concept jinsi mji wao unavyotakiwa kuwa. Wapanga miji wanapanga tu, jist from the blues, hawajui wananchi wa mji ule wanataka nini. Uwakilishi wa wananchi katika mambo mazito kama ya kupanga mji haupo, ukiachilia mbali ule wa madiwani. Madiwani wenyenyewe wasaka tonge tu, hawana elimu wala uelewa wa kitu gani kinatakiwa kufanywa na nani na kwa nini. Mipango miji yote ni top-down, ndo maana miji haina parks, central gardens au city squares.. ipo ipo kama makambi ya wakimbizi.. vibara bara vyembamba ka njia za ndezi..

Hao wakuu wa mkoa hawatokani na wananchi, wanawakilisha mfumo wa kikoloni wa kuitetea serikali badala ya kushirikiana na wananchi kuleta maendeleo.

Ni hayo tu
 
Vipi wale jamaa wanaoishi milimani walishushwa na Miti imepandwa ..?

Kama bado basi ni Jiji bovu ukanda wa Maziwa makuu.
 
Vyeti feki vilivyotamalaki mnategemea nini?

Hata hao wenye vyeti orijino wanakwenda makazini wanakuta wenye "uzoefu" ndio hao mapoyoyo mnategemea nini?

Kwanza mjirekebishe wenyewe kabla hamjalialia.

Mnalalamika wakati nyie wenyewe ndiyo tatizo?

Anzeni kwa kuacha kuvaa mitumba. Labda vichwa vitafunguka. Acheni kutumia magari ya mitumba.

Acheni kutumia vipuli vya mitumba.

Mpaka fikra na mawazo yenu ni mitumba tu hamna jipya.

Nchi nzima mnavaa nguo za marehemu, mnaendesha magari ya marehemu, mnategemea nini zaidi kama siyo kuwa kama maiti tu?
Vyeti feki vilivyotamalaki mnategemea nini?

Hata hao wenye vyeti orijino wanakwenda makazini wanakuta wenye "uzoefu" ndio hao mapoyoyo mnategemea nini?

Kwanza mjirekebishe wenyewe kabla hamjalialia.

Mnalalamika wakati nyie wenyewe ndiyo tatizo?

Anzeni kwa kuacha kuvaa mitumba. Labda vichwa vitafunguka. Acheni kutumia magari ya mitumba.

Acheni kutumia vipuli vya mitumba.

Mpaka fikra na mawazo yenu ni mitumba tu hamna jipya.

Nchi nzima mnavaa nguo za marehemu, mnaendesha magari ya marehemu, mnategemea nini zaidi kama siyo kuwa kama maiti tu?
Tengeneza viwanda vya nguo na magari basi... ukute hata physics uliikimbia ukasoma vivumishi... wabongo bhana
 
Back
Top Bottom