Soon International Community itatugeukia

Soon International Community itatugeukia

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,699
Reaction score
164,978
Soon tutaanza kutengwa katika mambo mengi na hata kuwekewa vikwazo vya kusafiri kwa baadhi ya wakubwa.

Tutabaki na ushirikiano na nchi za Kiafrika tu labda na nchi kama China lakini sio nchi za Ulaya na Marekani.

Kama siyo kutengwa basi tutaanza kupokea matamko ya kulaani haya yanayoendelea.
 
Soon tutaanza kutengwa katika mambo mengi na hata kuwekewa vikwazo vya kusafiri kwa baadhi ya wakubwa.

Tutabaki na ushirikiano na nchi za Kiafrika tu labda na nchi kama China lakini sio nchi za Ulaya na Marekani.

Kama siyo kutengwa basi tutaanza kupokea matamko ya kulaani haya yanayoendelea.
Who cares?????? Mbona Kagame tena yeye anawauwa wajinga wajinga kama ninyi mbona hajawahi kuzuiwa kusafiri??? Na kingine mabwana zenu wazungu they will only care pale ambapo maslahi yao yanaingiliwa in a sensible way lakini siyo kwa issue za ethics kama za ACCACIA. Hivyo msahau, lisu ni kichaa na ana upungufu wa akili na ndiyo maana watanzania tumempuuza na kwa sasa anadharaulika sana!
 
Soon tutaanza kutengwa katika mambo mengi na hata kuwekewa vikwazo vya kusafiri kwa baadhi ya wakubwa.

Tutabaki na ushirikiano na nchi za Kiafrika tu labda na nchi kama China lakini sio nchi za Ulaya na Marekani.

Kama siyo kutengwa basi tutaanza kupokea matamko ya kulaani haya yanayoendelea.
international community ipi dogo? yaani Tundu kukamatwa ndio dunia itishike? viroja vya Sefu havijafua dafu. Kwani kauwawa au amepelekwa polisi kuhojiwa? Toka EL awadanganye ICC na ICJ mmeshawehuka,poleni sana!
 
Who cares?????? Mbona Kagame tena yeye anawauwa wajinga wajinga kama ninyi mbona hajawahi kuzuiwa kusafiri??? Na kingine mabwana zenu wazungu they will only care pale ambapo maslahi yao yanaingiliwa in a sensible way lakini siyo kwa issue za ethics kama za ACCACIA. Hivyo msahau, lisu ni kichaa na ana upungufu wa akili na ndiyo maana watanzania tumempuuza na kwa sasa anadharaulika sana!
So you think you can go on and on and there won't be serious international intervention?

Unajidanganya, Tanzania sio Rwanda, Tanzania is more resourceful than Rwanda and this changes everything in the equation you are thinking!
 
international community ipi dogo? yaani Tundu kukamatwa ndio dunia itishike? viroja vya Sefu havijafua dafu. Kwani kauwawa au amepelekwa polisi kuhojiwa? Toka EL awadanganye ICC na ICJ mmeshawehuka,poleni sana!
Jamaa wanafikiri jumuiya za kimataifa ni kama chadema!

......
 
Who cares?????? Mbona Kagame tena yeye anawauwa wajinga wajinga kama ninyi mbona hajawahi kuzuiwa kusafiri??? Na kingine mabwana zenu wazungu they will only care pale ambapo maslahi yao yanaingiliwa in a sensible way lakini siyo kwa issue za ethics kama za ACCACIA. Hivyo msahau, lisu ni kichaa na ana upungufu wa akili na ndiyo maana watanzania tumempuuza na kwa sasa anadharaulika sana!
IMG-20160912-WA0085.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
International community inaona barabara kakonko nyakanazi kuwa lami.
Sio mtanzania kushikiliwa na vyombo halali vya dola kwa mahojiano yuko chini ya mikono Salama ya watu wanaolipwa kodi zako kwa ajili ya usalama wake.

Angekamatwa na ISIS hapo ningekuelewa hoja yako mkuu. Hachapwi hauliwi, tatizo liko wapi kuwasumbua watu waache kujadili Syria au Mogadishu.
 
Labda wakina international cricket commmitee(ICC). Yaani mjinga Lisu ndo afanywe tutegwe na JK, acha utani maalmu seif imeshindikana ndo iwe kwa Lisu. Labda ungesema maacacian kidogo nngekuelewa
 
Who cares?????? Mbona Kagame tena yeye anawauwa wajinga wajinga kama ninyi mbona hajawahi kuzuiwa kusafiri??? Na kingine mabwana zenu wazungu they will only care pale ambapo maslahi yao yanaingiliwa in a sensible way lakini siyo kwa issue za ethics kama za ACCACIA. Hivyo msahau, lisu ni kichaa na ana upungufu wa akili na ndiyo maana watanzania tumempuuza na kwa sasa anadharaulika sana!
Jpm ndio mtu wa kwanza kuwaita wazungu wa acacia wanaume wa shoka. Sasa wewe tafakari kinyume chake upande wetu tutakua jinsia ipi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Who cares?????? Mbona Kagame tena yeye anawauwa wajinga wajinga kama ninyi mbona hajawahi kuzuiwa kusafiri??? Na kingine mabwana zenu wazungu they will only care pale ambapo maslahi yao yanaingiliwa in a sensible way lakini siyo kwa issue za ethics kama za ACCACIA. Hivyo msahau, lisu ni kichaa na ana upungufu wa akili na ndiyo maana watanzania tumempuuza na kwa sasa anadharaulika sana!
Vichaaa wengine bhnaaa
 
Soon tutaanza kutengwa katika mambo mengi na hata kuwekewa vikwazo vya kusafiri kwa baadhi ya wakubwa.

Tutabaki na ushirikiano na nchi za Kiafrika tu labda na nchi kama China lakini sio nchi za Ulaya na Marekani.

Kama siyo kutengwa basi tutaanza kupokea matamko ya kulaani haya yanayoendelea.
Kama tumekubali nchi iongozwe na viongozi ambao vyeti vyao vina mashaka unategemea nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Soon tutaanza kutengwa katika mambo mengi na hata kuwekewa vikwazo vya kusafiri kwa baadhi ya wakubwa.

Tutabaki na ushirikiano na nchi za Kiafrika tu labda na nchi kama China lakini sio nchi za Ulaya na Marekani.

Kama siyo kutengwa basi tutaanza kupokea matamko ya kulaani haya yanayoendelea.
Ni mtu mwenye kiwango cha chini sana cha uelewa ambaye anaweza kulinganisha Tanzania na Rwanda linapokuja swala la mahusiano ya kimataifa. Mwenye kumbukumbu Kagame aliwahi kusafiri kwenda wapi atujuze na atuambie alienda kufanya nini. Tanzania ni taifa linaloheshimika sana duniani kwa mambo mengi. Unless mtu aseme kwamba tulihitaji aina ya uongozi wa kina Kagame ili tuheshimike kimataifa, lakini given the popualtion, Tanzania needs international community than Rwanda does. Haya yanayofanyika yanatia doa. Full stop.
 
Who cares?????? Mbona Kagame tena yeye anawauwa wajinga wajinga kama ninyi mbona hajawahi kuzuiwa kusafiri??? Na kingine mabwana zenu wazungu they will only care pale ambapo maslahi yao yanaingiliwa in a sensible way lakini siyo kwa issue za ethics kama za ACCACIA. Hivyo msahau, lisu ni kichaa na ana upungufu wa akili na ndiyo maana watanzania tumempuuza na kwa sasa anadharaulika sana!

Nimeyapenda sana majibu haya. Ni jumuiya ipi inayoweza kututenga kwa ajili ya mtu kutaka mwenyewe akamatwe na polisi kwa kutoa lugha za kuudhi kila mara, kwani chadema ni lissu peke yake au yeye ndo ameamua kubeba mzigo wote wa chadema. Chadema wanaojielewa wanaendelea na shughuli zao kama kawaida. Tanzania tuna kiongozi mmoja wa nchi, naye ni Rais wa jamhuri ya muungano wa TZ His Excellency John Joseph Pombe Magufuli, lakini hawa wengine ni wa taasisi tu, kama TFF, TLS, Bendi e.t.c, sasa yeye hana tofauti na Pacho Mwamba wa FM academia
 
LABDA WAKINA INTERNATIONAL CRICKET COMMMITEE(ICC). YAANI MJINGA LISU NDO AFANYWE TUTEGWE NA JK, ACHA UTANI MAALMU SEIF IMESHINDIKANA NDO IWE KWA LISU. LABDA UNGESEMA MAACACIAN KIDOGO NNGEKUELEWA
Post-truth politics
 
Ndiyo ilikua plan yao kutoka mwanzoni. Kujiweka karibu na China na kujitenga na western countries.
Tatizo ni moja tu, wanasahau hakuna nchi iliyo karibu na China na ikafanikiwa. Wachina nao wanataka waje wachote wasepe, hakuna nchi yenye urafiki wa kweli hua ni maigizo tu, kila mtu hua anajifikiria mwenyewe kwanza.
 
Soon tutaanza kutengwa katika mambo mengi na hata kuwekewa vikwazo vya kusafiri kwa baadhi ya wakubwa.

Tutabaki na ushirikiano na nchi za Kiafrika tu labda na nchi kama China lakini sio nchi za Ulaya na Marekani.

Kama siyo kutengwa basi tutaanza kupokea matamko ya kulaani haya yanayoendelea.
kweli mkuu, kuna kila dalili.
 
Soon tutaanza kutengwa katika mambo mengi na hata kuwekewa vikwazo vya kusafiri kwa baadhi ya wakubwa.

Tutabaki na ushirikiano na nchi za Kiafrika tu labda na nchi kama China lakini sio nchi za Ulaya na Marekani.

Kama siyo kutengwa basi tutaanza kupokea matamko ya kulaani haya yanayoendelea.
.....kwani ndo wanao mtuma !?
 
kwangu ningefurahi sana kama rais wetu angepigwa marufuku kukanyaga nchi yeyote nje ya afrika. nchi lazima iongozwe kikatiba....
 
Who cares?????? Mbona Kagame tena yeye anawauwa wajinga wajinga kama ninyi mbona hajawahi kuzuiwa kusafiri??? Na kingine mabwana zenu wazungu they will only care pale ambapo maslahi yao yanaingiliwa in a sensible way lakini siyo kwa issue za ethics kama za ACCACIA. Hivyo msahau, lisu ni kichaa na ana upungufu wa akili na ndiyo maana watanzania tumempuuza na kwa sasa anadharaulika sana!
Usiseme Watanzania, sema wewe. Wengi tunamkubali Tundu Lisu kama mtu mwenye ujasiri, akili, weledi na uwezo mkubwa wa kutambua, kujenga hoja na kutetea utawala wa sheria.

Mwanasheria Mkuu wa serikali aliwahi kumshukuru Tundu Lisu Bungeni kwa mchango mkubwa kwa Bunge na Taifa katika utungaji wa sheria. Haya yapo mpaka kwenye kumbukumbu za Bunge.

Wewe, nani anayekujua? Una mchango gani kwa Taifa hili ambao umewahi kutambuliwa rasmi na mhimili kama Bunge?

Kumjua mwenye akili na uwezo kunahitajika angalao kiwango fulani cha akili ambacho yumkini hujakifikia.

Jifunze kwa wenye akili, hata kama hutakuwa kama wao, unaweza angalao kunyanyuka kidogo kutoka mahali ulipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom