BONGOLALA JF-Expert Member Sep 14, 2009 16,507 11,883 Oct 27, 2010 #1 Wanauliza miaka yote 50 walikua wapi kuzitoa hizo ahadi?
TUKUTUKU JF-Expert Member Sep 14, 2010 11,765 4,033 Oct 27, 2010 #3 Safi sana, mwaka huu hatudanganyiki kwa chochote!!!!
N Ngandema Bwila JF-Expert Member Sep 8, 2010 1,017 256 Oct 27, 2010 #4 Nawashauri watani zango wa Bombi, Nyumbi hii, Wasiishie hapo. watunze kadi zao wakapige kura. Ndiyo ukombozi wao. Msiklizeni Dr. Slaa live CLOUDS FM.
Nawashauri watani zango wa Bombi, Nyumbi hii, Wasiishie hapo. watunze kadi zao wakapige kura. Ndiyo ukombozi wao. Msiklizeni Dr. Slaa live CLOUDS FM.
Raia Fulani JF-Expert Member Mar 12, 2009 10,876 2,740 Oct 27, 2010 #5 Dk anakuja huko songea wabwanji!
Genekai R I P Feb 9, 2010 12,517 4,987 Oct 27, 2010 #6 Hawa jamaa wa songea siwaamini hata kidogo, ni usanii tu!
D dotto JF-Expert Member Sep 29, 2010 1,725 255 Oct 27, 2010 #8 hii ilitakiwa ifanyike kwa kila jimbo kukomesha huu upuuzi wa fulana. eti ndio kivutio cha kuchagua mtu!!. Fulana ni dalili za rushwa.
hii ilitakiwa ifanyike kwa kila jimbo kukomesha huu upuuzi wa fulana. eti ndio kivutio cha kuchagua mtu!!. Fulana ni dalili za rushwa.
Tusker Bariiiidi JF-Expert Member Jul 3, 2007 5,520 2,091 Oct 27, 2010 #9 Mmenikumbusha yule Mbwa Immigration (RIP) wa Sumbawanga,Mbwa aliyevishwa T-shirt Tarime (RIP) Sijui kama huyu wa Songea bado yupo hai...
Mmenikumbusha yule Mbwa Immigration (RIP) wa Sumbawanga,Mbwa aliyevishwa T-shirt Tarime (RIP) Sijui kama huyu wa Songea bado yupo hai...